Kupata Katiba mpya haiwezi kuwa lelemama.
Tutapata katiba mpya mapema kwa kuidai kupitia chombo ambacho kitaulenga upatikanaji wake kama agenda pekee.
Vyama vya siasa wana agenda zao. Watu binafsi nao wana agenda zao pia zinazoweza kuwa zaidi ya hii.
Ni vyema vyama siasa, watu binafsi na asasi mbalimbali wakawa wajumbe humo kwenye chombo hiki wao kama vyama, asasi au watu binafsi.
Hii itasaidia kuondoa unyanyapaa Kwa washiriki, kupanua wigo wa ushiriki na ku focus kwenye hoja za msingi pekee za kulenga kumfunga Paka kengele.
Tuunganishe nguvu katiba mpya ni sasa na inawezekana.
Tutapata katiba mpya mapema kwa kuidai kupitia chombo ambacho kitaulenga upatikanaji wake kama agenda pekee.
Vyama vya siasa wana agenda zao. Watu binafsi nao wana agenda zao pia zinazoweza kuwa zaidi ya hii.
Ni vyema vyama siasa, watu binafsi na asasi mbalimbali wakawa wajumbe humo kwenye chombo hiki wao kama vyama, asasi au watu binafsi.
Hii itasaidia kuondoa unyanyapaa Kwa washiriki, kupanua wigo wa ushiriki na ku focus kwenye hoja za msingi pekee za kulenga kumfunga Paka kengele.
Tuunganishe nguvu katiba mpya ni sasa na inawezekana.