suala la kuharibika kwa meno ni kubwa sana kwa sasa hii haijarishi kinywa chako ni kisafi vipi, meno huharibika kutokana na acid inayozalishwa na bacteria wanaotumia sukari kama chakula chao, wakati wanatumia sukari hiyo, fermentation hutokeo na kusabisha acid kuongezeka kinywani ambayo kitalaamu tunasema inashusha noma pH Ambayo ni around 7. PH ikishuka meno huanza kupoteza minerals ili kubalance ile pH NA kumbuka meno yameundwa kwa inorganic minerals, hii process huenda polepole mpka unaanza kuhisi tobo kwenye jino. kwa ufupi basi tunashauri kwamba mtu apige mswaki mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jioni kabla ya kulala kwa kutumia dawa ya mswaki yenye madini ya fluoride na kwa tanzania inaonesha kuwa colgate ndio yenye fluoride ya kutosha, madini ya fluoride ndio kila kitu katika kuzuia meno kutoboka na sio usafi tu wa mdomo kwan research nying zimeonesha kuwa mtu anaweza kuwa anatumia vyakula vya sukari lakin bado asipate matizo ya meno kama atafuata utumiaji sahihi wa dawa yenye fluoride ya kutosha na zingatia kuwa ukisha piga mswaki na dawa usisukutue na maji kwa nguvu acha ile pofu lifanye kazi, sukutua kidogo tu ili dawa iendelee kufanya kazi