Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je unatumia sukari sana?mfano sukari ya kawaida kwenye vyakula,vinywaji au soda?...tatizo ni nini... ?? napiga mswaki minimu twice aday ! kinywa kisafi lkn baado naona dalili za meno kuoza..! is there any other option ? kung'oa mmmmh..kibogoyo..!? help,help,help
Je unatumia sukari sana?mfano sukari ya kawaida kwenye vyakula,vinywaji au soda?
in addition; chocolates and biscuit tm sn pia sio mzr
ni tatizo la kutokupiga mswaki vizuri tumia listerine kuua vijidudu...no muda mwingi nakuwa ukanda wa pwani hususani dar...