Kuhisi kama Kitu kimekwama kooni

Kuhisi kama Kitu kimekwama kooni

Charliemic

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2019
Posts
602
Reaction score
969
Nahisi nina shida ya Acid reflux, huwa usiku inatokeaga nacheua ambapo vinapanda hadi puani, kucheua huko huambatana na kiungulia kikali mnoo!



Kwa sasa nahisi kama kuna kitu kimekwama kooni hakitoki, kinakereketa mnooo, hali inayonifanya nikohoe kikohozi kikavu. Hali hii ilinifanya niende hospital mwanzoni nilipewa cough syrup pamoja na Ampiclox, nilimaliza dose bila mafanikio nikarudi tena nikapewa prednisoline, sephalexine, cough syrup na mebendazile bado sijapata nafuu

Je wapi nitapata matibabu sahihi!?

Au dawa please
 
ya Acid reflux, huwa usiku inatokeaga nacheua ambapo vinapanda hadi puani, kucheua huko huambatana na kiungulia kikali mnoo!



Kwa sasa nahisi kama kuna kitu kimekwama kooni hakitoki, kinakereketa mnooo, hali inayonifanya nikohoe kikohozi kikavu. Hali hii ilinifanya niende hospital mwanzoni nilipewa cough syrup pamoja na Ampiclox, nilimaliza dose bila mafanikio nikarudi tena nikapewa prednisoline, sephalexine, cough syrup na mebendazile bado sijapata nafuu

Je wapi nitapata matibabu sahihi!?

Au dawa please
Njoo PM nikupe dawa.
 
ya Acid reflux, huwa usiku inatokeaga nacheua ambapo vinapanda hadi puani, kucheua huko huambatana na kiungulia kikali mnoo!



Kwa sasa nahisi kama kuna kitu kimekwama kooni hakitoki, kinakereketa mnooo, hali inayonifanya nikohoe kikohozi kikavu. Hali hii ilinifanya niende hospital mwanzoni nilipewa cough syrup pamoja na Ampiclox, nilimaliza dose bila mafanikio nikarudi tena nikapewa prednisoline, sephalexine, cough syrup na mebendazile bado sijapata nafuu

Je wapi nitapata matibabu sahihi!?

Au dawa please
Acid reflux inasababisha kikohozi pia. Sasa sidhani kama cough syrup inatibu kikohozi kinachosababishwa na acid reflux. Hapo mwone Daktari akupatie maelekezo ya namna ya kutibu hiyo reflux. Ni kawaida usiku reflux kuwa kali zaidi ukilala. Kikohozi chake huwa kinatulia ukiamka au kukaa wima kitandani
 
ya Acid reflux, huwa usiku inatokeaga nacheua ambapo vinapanda hadi puani, kucheua huko huambatana na kiungulia kikali mnoo!



Kwa sasa nahisi kama kuna kitu kimekwama kooni hakitoki, kinakereketa mnooo, hali inayonifanya nikohoe kikohozi kikavu. Hali hii ilinifanya niende hospital mwanzoni nilipewa cough syrup pamoja na Ampiclox, nilimaliza dose bila mafanikio nikarudi tena nikapewa prednisoline, sephalexine, cough syrup na mebendazile bado sijapata nafuu

Je wapi nitapata matibabu sahihi!?

Au dawa please
Dawa zipo. Njoo PM nikuelekeze.
 
Tatizo ni acid imekuwa nyingi tumbani

Nilikuwa natatizo km lako, nilihudhuria sana kwa ma dk wa ENT..nikafanya mpk kipimo cha Endoscopy nilihisi ni dalili za kansa kumbe wala.

Badili mfumo wako wa chakula...punguza kula vyakula vinavyokusababishia kiungulia, wacha pilipili, punguza kula ngano hasa chapati. Pendelea kula matango na parachichi.
Mchama unaweza kula matunda tu..na ukasubiri ule usiku.
wahi kula chakula cha usiku na ukae zaidi ya masaa 2 ndo ukalale.

Ukihisi kiungulia kula tango, karanga au magnesium
 
Tatizo ni acid imekuwa nyingi tumbani

Nilikuwa natatizo km lako, nilihudhuria sana kwa ma dk wa ENT..nikafanya mpk kipimo cha Endoscopy nilihisi ni dalili za kansa kumbe wala.

Badili mfumo wako wa chakula...punguza kula vyakula vinavyokusababishia kiungulia, wacha pilipili, punguza kula ngano hasa chapati. Pendelea kula matango na parachichi.
Mchama unaweza kula matunda tu..na ukasubiri ule usiku.
wahi kula chakula cha usiku na ukae zaidi ya masaa 2 ndo ukalale.

Ukihisi kiungulia kula tango, karanga au magnesium
Hili tatizo halina dawa?
 
Tafuna sana big G.. hakikisha haibanduki kinywani, kunywa maji kwa wingi, acha misosi yenye pilipili, ndimu kwa wingi na kadhalika, usile chakula usiku mwingi.. Lalia ubavu, usilale kifudifudi.
 
Back
Top Bottom