Kuhisi kohozi kukwama kooni

bway hermit

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2017
Posts
1,337
Reaction score
2,339
Habar, rejea mada tajwa hapo juu
Ni siku ya pili nmekua nikihisi kama kohozi flan lipo kohon kila nkijatahid kujikoholesha lakin halitoki.
Naomba uelewa juu ya hili tatizo na jinsi ya kuliondoa.
 
Hiyo hali alikuwa nayo baba angu,kuna mdada huwa anaomba,akawa amekuja home,akawa anaomba na akamuombea baba,kwenye kuomba akawa anakohoa na kutema mate ,kuangalia ni damu damu,
Kesho yake baba akasema ile hali haisikii tena
Yan mpk leo hii haisikii,sasa sijajua tatizo lako ni sawa na la mshua wangu au lah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…