Kuhisi maumivu eneo la matiti

le madame

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
476
Reaction score
264
Salaamu zenu wakuu,

Msaada kwa hili ninalopitia sasa, yaaani nahisi maumivu makali katika matiti kwa muda wa mwezi sasa, ukibonyeza katika nyama za kifuani, (sio kwenye chuchu).

Ukitembea yakitikisika tuu kosa.

Wadau, Mwenyezi kujua chanzo na namna ya kulitokomeza anijuze!

Natanguliza shukrani wakuu.




 
Wahi hospitali mrembo hii si hali ya kawaida kabisa, pole sana.
 
Ahsante sana ndugu BAK, nilikua najaribu kuhusianisha baadhi ya mambo fulani katika mfumo wa mwili wa mwanamke, lakini bado naona hali tete
 
Wahi hospitali mrembo hii si hali ya kawaida kabisa, pole sana.

Hapana, aje kwangu huyo.

Mimi ni mtaalamu mbobezi wa hayo makitu na nimeshatibu wadada wengi tu.

*Halafu kabla hata sijaufungua huu uzi, nilipoona neno matiti tu nikajua hutakosekana humu:becky:*
 
Reactions: BAK
LOL! nilikuja kuangalia tatizo ni nini kama naweza kutoa ushauri wa kusaidia au la si zaidi ya hilo lol! isipokuwa wewe ukishaona neno matiti tu basi damu inachemka mwilini 🙂🙂..Hili tatizo linaweza kuwa si kubwa sana au ni kubwa sana cha kufanya ni kuwahi tu hospitali badala ya kupoteza muda mtandaoni ili kutafuta ushauri.

Hapana, aje kwangu huyo.

Mimi ni mtaalamu mbobezi wa hayo makitu na nimeshatibu wadada wengi tu.

*Halafu kabla hata sijaufungua huu uzi, nilipoona neno matiti tu nikajua hutakosekana humu:becky:*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…