kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 735
Habari enyi wana jf
Kuna rafiki yangu ambaye ni kijana (ME) mwenye umri wa above 25 age, huwa ikitokea kapatwa na homa mara nyingi pia lazima maeneo ya tumbo huwa anahis kama kuna uzito flani hivi kwa ndani kama ganzi hivi ambayo huendelea kwa mda kidogo hata baada ya kupona homa lakin baadae hiyo hali hupotea.
Ila kwa kipindi hiki hiyo hali ya kuendelea kupata hali ya ngazi maeneo ya tumboni kwa ndani imekuwa ikiendelea kwa mda kidogo
Mbali na hilo tatizo kuna tatizo jingine limejitokeza katikati ya miguu upande wa mguu wa kulia kuna kauvimbe mithili ya kipele hivi ambako hakana maumivu ingawa huwa anahis kama mguu unapata ganzi fulani hivi. Ni mda wa wiki mbili sasa hili tatizo lipo.
Naombeni ushauri wenu enyi wadau na wajuvi wa masuala ya afya mumsaidie huyu.
Ahsanteni
Kuna rafiki yangu ambaye ni kijana (ME) mwenye umri wa above 25 age, huwa ikitokea kapatwa na homa mara nyingi pia lazima maeneo ya tumbo huwa anahis kama kuna uzito flani hivi kwa ndani kama ganzi hivi ambayo huendelea kwa mda kidogo hata baada ya kupona homa lakin baadae hiyo hali hupotea.
Ila kwa kipindi hiki hiyo hali ya kuendelea kupata hali ya ngazi maeneo ya tumboni kwa ndani imekuwa ikiendelea kwa mda kidogo
Mbali na hilo tatizo kuna tatizo jingine limejitokeza katikati ya miguu upande wa mguu wa kulia kuna kauvimbe mithili ya kipele hivi ambako hakana maumivu ingawa huwa anahis kama mguu unapata ganzi fulani hivi. Ni mda wa wiki mbili sasa hili tatizo lipo.
Naombeni ushauri wenu enyi wadau na wajuvi wa masuala ya afya mumsaidie huyu.
Ahsanteni