Kuhudumia Mwanaume Kabla ya Kuoana.

Ni kama vile wanatufanyia Interview! hapo hujanipata. Hayo nitafanya ukinivisha pete wangu. kama inakushindaa
kwaheri
Pete mbona zimejaa kwa masonara, kama huo ndio msimamo wako jifikirie mara mbili, ni afadhali mtu asiepropose ndoa kuliko msanii anaekuingilia kwa gia ya kukuoa.
Utavimba bichwa kwa kuvalishwa pete kumbe kuna wenzako 6 nao wameshavalishwa pete, jamaa atajilia mzigo kwa ulaini akitosheka anakuachia manyoya. wake up usiwe mjinga.
 

Ni kweli hakuoi ili umfanyie kazi, lakini katika ndoa kuna "obligations and responsibilities" kwa kila mwanandoa (wote mume na mke). Kimsingi bila kujali umechoka au haujachoka unapaswa umwandalie (au umpikie) mumeo chakula, na sio kipikwe na house girl. Tatizo jingine kwa visingizio hivyo, majukumu yote ya familia anaachiwa h/g (Atafua nguo zoote za mumeo, za kwako, mpaka na chupi za mumeo, atakutandikieni kitanda) n.k. Matokeo yake anamalizia kabisaa na "shughuli ile yenyewe yenye utamu", alafu utamlalamikia nani.

Ladies, you ought not to avoid your responsibilities and obligations, employment should not be an excuse. Afadhali kwa wamama wenye watoto wachanga, tutasema wanahitaji usaidizi, lakini wengine wako wawili tu, na bado h/g ndo kila kitu. Mnaziangamiza ndoa zenu kwa kutokujua.
 

Ha ha haaa haaa haaa!!! yaani ungejua tu. usingesema yote hayo. Muulize dadaangu Ashdii. ananijua Vizuri.
 

Naamanisha ile pete kubwa Dadiito.
 
Yaani mkuu unakwenda na mstari na hata sina haja ya kukuuliza umri maana najuwa wewe ni wamakamo yangu, sio wa level ya usharobaro, maana kuna wakati demu anaweza akakugeuza wewe ndio dingi mapenzi kidogo mizinga mingi.
 
Reactions: SMU
<br />
<br />
Wala hujakosea. Wengi wanafikiri houseboy au house gal ni kila kitu. Ila ukweli ni kuwa tunataka tujue huyu mke atakuwaje nikiwa nae baada ya ndoa nionje mapishi yake, nijue kama hata anajua kupika maana wengi siku hizi hata kukatakata kitunguu hajui, nimuone fua yake au ni wale wanaoloweka nguo wiki, nijue reaction yake siku nimerudi namwambia wazi ile hela ya salon uliyoomba sijapata nione anakuwaje. Nione maisha yakibadilika anareact vipi kutokana na mabadiliko
 
ndo nyingi siku hizi hazina tofauti na sela za ccm, nzuri mwanzoni tu lakini mbeleni wote ni wapita njia
 
Mi napita tu hapa wajameni, ila kama kuna mdada atataka kuhamia kwangu akaribie tu niko free, aje tutambuane
 
Ni tatizo sana nowdayz, hasa kwenye issue ya zaa kwanza ndo tuoane?! sasa huwezi pata mtt ww si mke? ndoa nyingi wanawake vitumbo mbele, kama hawajishikishi ili waolewe basi ni condition aliyopewa na mkaka, kufua poa tu as huwezi kwenda kwa mshikaji mkalalia mashuka machafu, or mkapitia chipsi unapika kidogo. Ila kuhamia kwa mkaka bila ndoa wont advice.
 
Mi napita tu hapa wajameni, ila kama kuna mdada atataka kuhamia kwangu akaribie tu niko free, aje tutambuane

Karibu kwangu si unajua working class women we have every thing except husband material
 

Swala la kuzaa kwanza eti ndio ujue kuwa mwanamke ana uwezo wa kuzaa nafikiri si la kisayansi kwani yawezekana pia mwanaume akawa ndo chanzo.... na wala silifagilii kwani haileti picha nzuri kwenye jamii.
 
Yaani mkuu unakwenda na mstari na hata sina haja ya kukuuliza umri maana najuwa wewe ni wamakamo yangu, sio wa level ya usharobaro, maana kuna wakati demu anaweza akakugeuza wewe ndio dingi mapenzi kidogo mizinga mingi.

Nachoshindwa kushangaa ni kwamba wanawake wengi wanaojaribu kukwepa huu ukweli wa majukumu ya mwanamke anapokuwa kwa mume wake hawajaolewa, na sitoshangaa kama hawataolewa kwa kutafuta usawa.

Utashangaa huu usawa unakujaje wakati tangu uumbaji Mungu alishamkabidhi kila mmoja majukumu yake??
 
Mkirua we hujawahi kukutana na kimeo. Bora kutonunua mbuzi kwenye gunia nimuhakikishe kweli ni mbuzi ndo nijitose. Kama mimi ndo nina matatizo hayo mengine. Ila kama najihakikishia niko fit lazima mbuzi nimuone kwa macho
 
Mi napita tu hapa wajameni, ila kama kuna mdada atataka kuhamia kwangu akaribie tu niko free, aje tutambuane

Mabagala ofisini kwako kuna ajira ?siku moja nitapita nikupangie meza yako....
 
Nashindwa hata kuwapa advice gani vijana
wengine tushakua na wajukuu sasa miaka ileeeeeee tushafanya usafi kupika kudeki kufua kuweka mapambo ndani ya nyumba lakini ndani waliingia wengine .,.....kwa hiyo basi (.....)
 
Reactions: SMU
Mimi napinga kabisa mwanaume anayetoa masharti kama ya kupikiwa na kufuliwa ndio akuoe. Ila nakubali kabisa wife material lazima atafanya hivyo vitu bila kushurutishwa. Kwa hiyo kwa mtazamo wangu mwanaume anayetoa masharti sijuhi upike, ufue, upate mimba ndio nakuoa si husband material. Na mwanamke asiyefanya hizo kazi pale anapomtembelea mpenzi wake gheto si wife material.

Unajua hata kama sisi wanawake wa kileo tuko busy na kazi na mafoleni bado kuna tofauti kati ya nyumba ya mwanamke asiyejua kazi za ndani na mwanamke anayezijua ila hana nafasi. Kumbuka kuwa mahousegirl wengi si profesional kwa kazi za ndani wanahitaji kufundishwa maana wametoka bush kwa mfano most of them hawajawahi hata kutumia vyoo vya ndani wala kuvisafisha. Sasa kama mama mwenye nyumba hajuhi kupika jua fika hata housegilr hataweza pika chakula kizuri; nani atamfundisha??? Kama mama hajuhi kufua wala usafi wa ndani jua nyumba itakuwa chafu hata kama mna housegirl watatu kwani mkeo hatakuwa anaona kasoro.

Hata makazini supervisor mzuri ni anayejua kazi. Kwa hiyo hata kama hatufanyi kazi za ndani very often we are good supervisors because we know them. Mimi housegirl hakiacha kazi naona mme wangu anavyokuwa na furaha maana ananotice difference ndani katika kila nyanja. Bahati mbaya siwezi hacha kazi.

Nina shemeji yangu alikuwa na girlfriend wake wa muda mrefu saana mdada anakuja gheto kwa shem anampikia afu anaacha vyombo kibao kwenye sink anatimua mpaka nyumba inatoa harufu. Mwisho wa siku jamaa hakuoa japo am sorry kwani alikuja mzalisha dada wa watu. Ila washikaji wote walikuwa wanamwambia jamaa ukioa hapo umevaa mkenge.
 

Wivu wenu tu ndo unawaletea shida! unaona ukikaa mwezi bila kumuona mwenzio basi atahamishia majeshi sehemu nyingine.Usipompa huduma atapewa na mwingine! basi ukifikiria hivyo unaamia geto kabisa...Na ukichukulia siku hizi wadada wakimaliza vyuo hawarudi kwenye familia zao,eti nao wanapanga vyumba km akina kaka.Utakuta kwenye chumba chake analala mara 1 kwa wiki.
 

Dinna more than true! Kuna wakati naamini ndoa ni mpango wa Mungu hata uspofua, sijui kupika n.k kama wako will be urs. Wont forget my 4 years doing ever thing for man n we did nt end together. It was well learned lesson, waliofuata karibu kwangu uje na ulizovaa mwilini as ukiondoka utazivaa tena, never sleepover to bf unless hangover! B4 marriage only sex is for offer as U give I give hata vikiend siko we had fun na sikuwa maid wako!
 

Hivi nyumba kubwa mtu anaweza kukulazimisha uanze majukumu ya ndani ya nyumba kama wife?
mie naona ile huwa tunafanya wenyewe kwa kupenda ..unajefeel kupika pika kama utashinda kwa mwenzio
ukiona nyumba chafu utasafisha na mengineyo kibao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…