A atomic clock Member Joined Mar 30, 2014 Posts 35 Reaction score 9 Apr 4, 2014 #1 Habari za mida hii wadau? Ninaomba kwa anaejua ni lini wanaotaka kujiunga na ualimu wa shule za msingi wanatakiwa kujaza fomu za maombi ya kujiunga na vyuo vya serikali anijuze. Asanteni sana.
Habari za mida hii wadau? Ninaomba kwa anaejua ni lini wanaotaka kujiunga na ualimu wa shule za msingi wanatakiwa kujaza fomu za maombi ya kujiunga na vyuo vya serikali anijuze. Asanteni sana.
mwaride JF-Expert Member Joined Oct 21, 2012 Posts 421 Reaction score 106 May 3, 2014 #2 Wakuu hata mimi naomba kujua ni lini form zitawekwa online maana nina dogo hapa anahitaji kujiunga na chuo cha ualimu.
Wakuu hata mimi naomba kujua ni lini form zitawekwa online maana nina dogo hapa anahitaji kujiunga na chuo cha ualimu.