Kuhusu Afya yangu Deogratius Kisandu

Lol! Unavyojisifu utaqdhani hii JF ni hospital na wanachama wake ni wagonjwa.

Maandishi yako yanakufanya uwe mzima shingoni kushuka chini, shingoni kwenda juu ni mfu
 
Kwani uzima wako ni juhudi zako pekee? By the way, who gives a sh*t about ur health anyway
 
Hata saa mbovu kuna wakati inaonesha muda sahihi.

Nakushauri ukafadhi vipimo upya hasa magonjwa ya akili
 
Uliyoyaandika yanathibitisha wewe sio mzima kiakili, mambo ya ukimwi yanahitaji daktari ila kujua wewe ni chizi unatuonyesha mwenyewe.
 
If you express yourself too much, you're considered weak
 
unasumbuka na maneno ya deo "Kisanduku"
utachoka, ana tatizo la hoja yake namba 2
 
Una miaka miwili hujakanyaga hospitali, sasa unajuaje we ni mzima wa afya.
 
Hapa naanza kuamini una matatizo ya akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…