Kuhusu ajira za Walimu,Hili prof Mkenda Kalitazama!

Kuhusu ajira za Walimu,Hili prof Mkenda Kalitazama!

Kimwakaleli

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2018
Posts
7,755
Reaction score
11,737
Habarini wanaJamiiForums,

Mimi ni mdau wa kupenda maendeleo na ustawi wa wengine pia.Kuna hili swala la ajira za Walimu mtindo wanaotumia kupata walimu wa kuajiriwa ni mzuri ila una mkwamo mkubwa sana.

Yaani Mwalimu aliyemaliza chuo mwaka 2019, Unapoenda kumpambanisha interview na aliyemaliza 2023 Lazima kuna utofauti wa kujibu maswali, maana huyu aliyemaliza miaka ya nyumba atakuwa vitu vingine kwanza kuvisahau kufuatana na mfumo wetu wa maisha.

Mngewaajiri tuu na baadae muwape kozi fupi.

Ahsanteni sana.
 
FB_IMG_17389958908241242.jpg
 
Habarini wanaJamii Forum,Mimi ni mdau wa kupenda maendeleo na ustawi wa wengine pia.Kuna hili swala la ajira za Walimu mtindo wanaotumia kupata walimu wa kuajiriwa ni mzuri ila una mkwamo mkubwa sana.Yaani Mwalimu aliyemaliza chuo mwaka 2019,Unapoenda kumpambanisha interview na aliyemaliza 2023 Lazima kuna utofauti wa kujibu maswali,maana huyu aliyemaliza miaka ya nyumba atakuwa vitu vingine kwanza kuvisahau kufuatana na mfumo wetu wa maisha.Mngewaajiri tuu na baadae muwape kozi fupi.
Ahsanteni sana.
Sasa anaenda kufindisha nini kama amesahau hata yale machache ya interview.
 
Habarini wanaJamii Forum,Mimi ni mdau wa kupenda maendeleo na ustawi wa wengine pia.Kuna hili swala la ajira za Walimu mtindo wanaotumia kupata walimu wa kuajiriwa ni mzuri ila una mkwamo mkubwa sana.Yaani Mwalimu aliyemaliza chuo mwaka 2019,Unapoenda kumpambanisha interview na aliyemaliza 2023 Lazima kuna utofauti wa kujibu maswali,maana huyu aliyemaliza miaka ya nyumba atakuwa vitu vingine kwanza kuvisahau kufuatana na mfumo wetu wa maisha.Mngewaajiri tuu na baadae muwape kozi fupi.
Ahsanteni sana.
Kwanini asijiandae kwa kusoma pia;material si zipo kichwani tu amesahau akianzq kusoma kumbukumbu ya concepts inarudi.Au alikariri concepts haziku sink?
 
Sasa anaenda kufindisha nini kama amesahau hata yale machache ya interview.
Akipigwa msasa atafundisha tuu mkuu, maana huku uraiani alijichanganya na mambo mengine,ufugaji,kilimo , biashara nk!Hata udereva ukikaa muda mrefu bila kuendesha gari,ukupewa unakuwa kama mwanafunzi hadi kichwa kikae sawa .
 
Kwanini asijiandae kwa kusoma pia;material si zipo kichwani tu amesahau akianzq kusoma kumbukumbu ya concepts inarudi.Au alikariri concepts haziku sink?
Sawasawa,mtihani hutoka ulichosoma sio kitakachotoka!Muhimu ni kuwapa msasa ndio wachuje nani zaidi!
 
Sawasawa,mtihani hutoka ulichosoma sio kitakachotoka!Muhimu ni kuwapa msasa ndio wachuje nani zaidi!
Huu ni "mtihani" wa usaili wa 'kazi'. Akilijua hilo anaenda na ufahamu wake wa elimu ya ualimu(kazi atayoenda kufanya) na ufahamu wake wa kitaaluma wa somo husika la kufundishia; basi mchezo umeisha anachukua ajira.Tatizo watu hawajatulia kujiuliza hiki kitu kina maana gani na hivyo mimi natakiwa kufanya nini.Wanajiendea tu matokeo yake mtu anapata max za namba za viatu
 
Habarini wanaJamii Forum,Mimi ni mdau wa kupenda maendeleo na ustawi wa wengine pia.Kuna hili swala la ajira za Walimu mtindo wanaotumia kupata walimu wa kuajiriwa ni mzuri ila una mkwamo mkubwa sana.Yaani Mwalimu aliyemaliza chuo mwaka 2019,Unapoenda kumpambanisha interview na aliyemaliza 2023 Lazima kuna utofauti wa kujibu maswali,maana huyu aliyemaliza miaka ya nyumba atakuwa vitu vingine kwanza kuvisahau kufuatana na mfumo wetu wa maisha.Mngewaajiri tuu na baadae muwape kozi fupi.
Ahsanteni sana.
Huyo jamaa ana roho mbaya Sana. Goja litampata jingine tofauti na lililompata juzi kati. Jamaa mbaya Sana Tena mbaya mno. Angekuwa yeye Kwa lile lililotokea kwao, aise ilikuwa ni kufanya tafrija fupi. In general jamaa ni mbaya mno
 
Kweli ni kitu hakiwezekani utofauti wa kumaliza chuo !,Maana huyu wa karibuni Bado mambo yachuo yapo kichwani!
Huu ni "mtihani" wa usaili wa 'kazi'. Akilijua hilo anaenda na ufahamu wake wa elimu ya ualimu(kazi atayoenda kufanya) na ufahamu wake wa kitaaluma wa somo husika la kufundishia; basi mchezo umeisha anachukua ajira.Tatizo watu hawajatulia kujiuliza hiki kitu kina maana gani na hivyo mimi natakiwa kufanya nini.Wanajiendea tu matokeo yake mtu anapata max za namba za viatu
Upo sahihi mkuu!Mtu kakaa muda mrefu uraiani wengi wanaenda na panic na stress.
 
Kwanini asijiandae kwa kusoma pia;material si zipo kichwani tu amesahau akianzq kusoma kumbukumbu ya concepts inarudi.Au alikariri concepts haziku sink?
Usilete utani,usicheze na marejesho na mikopo umiza na kubeti ili kupata mkate wa kila siku,ni shida.
 
Back
Top Bottom