Kuhusu Bandari ya Dar es Salaam: Historia ya uchumi wetu unaonesha kuwa ubinafsishaji umekuza uchumi kuliko nationalization (utaifishaji)

Kuhusu Bandari ya Dar es Salaam: Historia ya uchumi wetu unaonesha kuwa ubinafsishaji umekuza uchumi kuliko nationalization (utaifishaji)

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Kwa wanaofuatilia historia ya nchi yetu tangia uhuru, ambapo baada ya uhuru makampuni, viwanda, mashamba makubwa, shule, benki nyingi zilikuwa chini ya sekta binafsi.

Nyerere kwa uelewa wake akataifisha vitega uchumi hivi na kuvifanya mali ya Serikali.

Uchumi wa Tanzania ukayumba sana, viwanda vikafungwa, mashamba makubwa yaliyokuwa yanazalisha chakula kingi yakafa, benki na kampuni nyingi pia vikafa, watu kupata mlo mmoja ikawa ni starehe.

Rais Mkapa ndio Rais aliyekuwa bold kufanya ubinafsishaji wa vitega uchumi, na kuleta uwekezaji wa nje, japo kuna baadhi haukuwa mzuri ila ubinafsishaji ulileta impact kubwa chanya kwenye ukuaji.

Ukianga trend ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania, Uchumi wetu ulikuwa kwa kasi kubwa zaidi kipindi cha Mkapa kuliko kipindi chochote kile, makampuni makubwa ya mawasiliano, vinywaji pombe, mabenki ambayo ndio walipa kodi wakubwa katika Tanzania ya sasa yakizaliwa kutokana na sera za ubinafsishaji na uwekezaji wa nje.

So kwenye hili la mwisho ubinafsishaji wa bandari ya Dar, yapaswa tutumie zaidi mantiki kuliko mihemko.

Tukosoe ni kipi kiboreshwe kwenye huo mkataba, umakini upi ufuatwe, na sio kupinga totally kuwa ni kitu kisichofaa.
 
Kwanza kabisa, mkataba wowote inaoingia serikali na mwekezaji, hautakiwi kuwepo na kipengele cha confidentiality, kinaonesha uwepo wa nia ovu kwetu toka kwa mafisadi wanaoingia huo mkataba, hiki hakina maana kabisa, iekeweke, bandari na taasisi nyingine zote za serikali ni mali ya umma, serikali ni wasimamizi tu, hivyo umma unatakiwa kujua kila kitu kilichomo kwenye mkataba.

Kitendo cha kujidai kuna uwazi, unaacha mkataba uonekane kwa umma, halafu ndani ya huo mkataba panakuwepo na kipengele cha confidentiality, hiyo kwangu ni sawa na huo mkataba wote ni siri, kwasababu inawezekana kabisa, mambo nyeti yakafichwa, halafu yale yasiyo na uzito ndio tunaachiwa sisi wengine tuyajue, huu ni utapeli mtupu.
 
Kwa nini hatusomeshi watu wetu kuendesha hiyo bandari?Yaani tunashindwa na watu wenye jangwa?aisee mwarabu ALIINGIZA KICHWA LOLIONDO SASA ANAMWAGA MBEGU IKULU
 
Kwanza kabisa, mkataba wowote inaoingia serikali na mwekezaji, hautakiwi kuwepo na kipengele cha confidentiality, hiki hakina maana kabisa, bandari na taasisi...
Kuna madui wa taifa wenye ujuma sio lazima wajue kila kitu, hapana hata Marekani kuna confidentiality classfied document, sembuse kwetu habapo zaidi ya 70% ni illiterate au semi literate.
 
Kwa nini hatusomeshi watu wetu kuendesha hiyo bandari?Yaani tunashindwa na watu wenye jangwa?aisee mwarabu ALIINGIZA KICHWA LOLIONDO SASA ANAMWAGA MBEGU IKULU
Labda Amemwaga mbegu kwenye ile ikulu ya mamaako
 
Kwanza kabisa, mkataba wowote inaoingia serikali na mwekezaji, hautakiwi kuwepo na kipengele cha confidentiality, hiki hakina maana kabisa, iekeweke, bandari na taasisi nyingine zote za serikali ni mali ya umma, serikali ni wasimamizi tu, hivyo umma unatakiwa kujua kila kitu kilichomo kwenye mkataba.

Kitendo cha kujidai kuna uwazi, unaacha mkataba uonekane kwa umma, halafu ndani ya huo mkataba panakuwepo na kipengele cha confidentiality, hiyo kwangu ni sawa na huo mkataba wote ni siri, kwasababu inawezekana kabisa, mambo nyeti yakafichwa, halafu yale yasiyo na uzito ndio tunaachiwa sisi wengine tuyajue, huu ni utapeli mtupu.
hata mm nilivyosoma kicho kipengele cha usiri kimenishtua sana na nikajiuliza nini kinafichwa ndani ya mkabata huo?kama ni kweli una tija kwa nini kuwe na kipengele cha usiri.
 
Wacha kupotosha. Serikali ya Tanzania haijawahi kufanya hayo. Ati Nationalization ni Utafsishaji. poo!
 
Kuna madui wa taifa wenye ujuma sio lazima wajue kila kitu, hapana hata Marekani kuna confidentiality classfied document, sembuse kwetu habapo zaidi ya 70% ni illiterate au semi literate.
Maadui wa taifa letu ninaowafahamu mimi wako ndani, ni hao hao viongozi mafisadi wanaoingia hiyo mikataba ndio maana wanaweka vipengele vya siri.

Sasa kama wewe unawafahamu maadui zetu wa nje, nitajie hapa angalau watatu, kisha utuambie uadui wetu na wao ulinzia wapi?

Karibu.
 
Kwa wanaofuatilia historia ya nchi yetu tangia uhuru, ambapo baada ya uhuru makampuni, viwanda, mashamba makubwa, shule, benki nyingi zilikuwa chini ya sekta binafsi.

Nyerere kwa uelewa wake akataifisha vitega uchumi hivi na kuvifanya mali ya Serikali.

Uchumi wa Tanzania ukayumba sana, viwanda vikafungwa, mashamba makubwa yaliyokuwa yanazalisha chakula kingi yakafa, benki na kampuni nyingi pia vikafa, watu kupata mlo mmoja ikawa ni starehe.

Rais Mkapa ndio Rais aliyekuwa bold kufanya ubinafsishaji wa vitega uchumi, na kuleta uwekezaji wa nje, japo kuna baadhi haukuwa mzuri ila ubinafsishaji ulileta impact kubwa chanya kwenye ukuaji.

Ukianga trend ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania, Uchumi wetu ulikuwa kwa kasi kubwa zaidi kipindi cha Mkapa kuliko kipindi chochote kile, makampuni makubwa ya mawasiliano, vinywaji pombe, mabenki ambayo ndio walipa kodi wakubwa katika Tanzania ya sasa yakizaliwa kutokana na sera za ubinafsishaji na uwekezaji wa nje.

So kwenye hili la mwisho ubinafsishaji wa bandari ya Dar, yapaswa tutumie zaidi mantiki kuliko mihemko.

Tukosoe ni kipi kiboreshwe kwenye huo mkataba, umakini upi ufuatwe, na sio kupinga totally kuwa ni kitu kisichofaa.
Unaonaje tukibinafisisha serikali yote ili kuleta ufanisi zaidi? Kwa sababu serikali inashindwa kuleta ufanisi kwenye kusimamia na kutoa huduma ndo maana inabinafisishwa Taasisi zake?

Fikiria nje ya BOX
 
Unaonaje tukibinafisisha serikali yote ili kuleta ufanisi zaidi? Kwa sababu serikali inashindwa kuleta ufanisi kwenye kusimamia na kutoa huduma ndo maana inabinafisishwa Taasisi zake?

Fikiria nje ya BOX
Kitu cha kwanza ni ustawi wa nchi na wananchi
 
Kitu cha kwanza ni ustawi wa nchi na wananchi
Serikali imekiri yenyewe haiwezi kuleta usitawi kwa nchi na wananchi ndo maana inabinafisisha ili isaidiwe?

Hoja ni serikali yote ikibinafisishwa si ufanisi utakuwa mzuri zaidi kwa nchi na wanachi?
 
Kwa wanaofuatilia historia ya nchi yetu tangia uhuru, ambapo baada ya uhuru makampuni, viwanda, mashamba makubwa, shule, benki nyingi zilikuwa chini ya sekta binafsi.

Nyerere kwa uelewa wake akataifisha vitega uchumi hivi na kuvifanya mali ya Serikali.

Uchumi wa Tanzania ukayumba sana, viwanda vikafungwa, mashamba makubwa yaliyokuwa yanazalisha chakula kingi yakafa, benki na kampuni nyingi pia vikafa, watu kupata mlo mmoja ikawa ni starehe.

Rais Mkapa ndio Rais aliyekuwa bold kufanya ubinafsishaji wa vitega uchumi, na kuleta uwekezaji wa nje, japo kuna baadhi haukuwa mzuri ila ubinafsishaji ulileta impact kubwa chanya kwenye ukuaji.

Ukianga trend ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania, Uchumi wetu ulikuwa kwa kasi kubwa zaidi kipindi cha Mkapa kuliko kipindi chochote kile, makampuni makubwa ya mawasiliano, vinywaji pombe, mabenki ambayo ndio walipa kodi wakubwa katika Tanzania ya sasa yakizaliwa kutokana na sera za ubinafsishaji na uwekezaji wa nje.

So kwenye hili la mwisho ubinafsishaji wa bandari ya Dar, yapaswa tutumie zaidi mantiki kuliko mihemko.

Tukosoe ni kipi kiboreshwe kwenye huo mkataba, umakini upi ufuatwe, na sio kupinga totally kuwa ni kitu kisichofaa.
Umeongea pumba tupu kwanza wewe Kilaza unafananisha bandari na kiwanda Cha nguo?

Kwani Kuna bidhaa yoyote pale bandarini inazalishwa Kwa ajili ya kuuzwa?

Bandari ni lango la kukusanya ushuru wa nchi Sasa serikali inashindwa vipi kukusanya ushuru wake Hadi watafute watu wawasaidie Kwa kweli hi ni aibu
 
Umeongea pumba tupu kwanza wewe Kilaza unafananisha bandari na kiwanda Cha nguo?

Kwani Kuna bidhaa yoyote pale bandarini inazalishwa Kwa ajili ya kuuzwa?

Bandari ni lango la kukusanya ushuru wa nchi Sasa serikali inashindwa vipi kukusanya ushuru wake Hadi watafute watu wawasaidie Kwa kweli hi ni aibu
Wewe zezeta kwani kitu kubinafsishwa lazima kiwe kinazalisha bidhaa? Kuna benki zilibinafsishwa na sasa zimekuwa giant, hizo zinazalisha bidhaa

Hujui hata kazi ya bandari
 
Hivi ukibinafsisha ndio kusema mnakubaliana kupeleka sh 100 serikalini kila mwezi hata kama utakusanya 1,000?
 
Kwa wanaofuatilia historia ya nchi yetu tangia uhuru, ambapo baada ya uhuru makampuni, viwanda, mashamba makubwa, shule, benki nyingi zilikuwa chini ya sekta binafsi.

Nyerere kwa uelewa wake akataifisha vitega uchumi hivi na kuvifanya mali ya Serikali.

Uchumi wa Tanzania ukayumba sana, viwanda vikafungwa, mashamba makubwa yaliyokuwa yanazalisha chakula kingi yakafa, benki na kampuni nyingi pia vikafa, watu kupata mlo mmoja ikawa ni starehe.

Rais Mkapa ndio Rais aliyekuwa bold kufanya ubinafsishaji wa vitega uchumi, na kuleta uwekezaji wa nje, japo kuna baadhi haukuwa mzuri ila ubinafsishaji ulileta impact kubwa chanya kwenye ukuaji.

Ukianga trend ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania, Uchumi wetu ulikuwa kwa kasi kubwa zaidi kipindi cha Mkapa kuliko kipindi chochote kile, makampuni makubwa ya mawasiliano, vinywaji pombe, mabenki ambayo ndio walipa kodi wakubwa katika Tanzania ya sasa yakizaliwa kutokana na sera za ubinafsishaji na uwekezaji wa nje.

So kwenye hili la mwisho ubinafsishaji wa bandari ya Dar, yapaswa tutumie zaidi mantiki kuliko mihemko.

Tukosoe ni kipi kiboreshwe kwenye huo mkataba, umakini upi ufuatwe, na sio kupinga totally kuwa ni kitu kisichofaa.
Acha kujitoa ufahamu watanzania hawataki mpango wenu na itawagharimu pakubwa
 
Back
Top Bottom