PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
muwe na akiba ya manenohakuna haja ya kuogopa. barca watafungwa tena, viungo walaini na wazembe sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muwe na akiba ya manenohakuna haja ya kuogopa. barca watafungwa tena, viungo walaini na wazembe sana
Best comment of the dayBarca wanatakiwa kusajili Verrati awe mrithi wa iniesta
[emoji23] [emoji23] kazi walioipiga jana aisee!! mpaka nikaongeza kiingilio ukumbiniSamahani mkuu kuwa nje ya mada ila
MATUIDI
KIMPEMBE
RABIOT na
VERATTI anajua MUNGU.
Hahahaa[emoji23] [emoji23] kazi walioipiga jana aisee!! mpaka nikaongeza kiingilio ukumbini
Acha upotoshaji,AC Milan alimfunga Deportivo La Coruna 4-1 na mechi ya marudiano Deportivo akashinda 4-0Wakuu soka lina maajabu,AC Millan waliwafunga Depotivo la Coluna gori 4 buyu,walipoenda Spain wakapigwa 5 buyu...game bado hii wazeiyaa..
Hongera kuweka kumbukumbu sawa...Acha upotoshaji,AC Milan alimfunga Deportivo La Coruna 4-1 na mechi ya marudiano Deportivo akashinda 4-0
Kama historia inajrudia bas amini ipo ckuTanzania bara itajtenga na Visiwan na Mjerumani atarud Tanganyika kuitawala.Wakuu soka lina maajabu,AC Millan waliwafunga Depotivo la Coluna gori 4 buyu,walipoenda Spain wakapigwa 5 buyu...game bado hii wazeiyaa..