mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Wazungu wenyewe wanakiri kuwa corona virus is a moving target. Kwa maneno mengine ni kwamba kirusi cha corona ni shabaha inayotembea.
Ili kuielewa dhana hii nitatumia mfano rahisi. Tufananishe kirusi cha corona kama nyoka mkubwa sana na mkali. Huyo nyoka ulimwona mahali fulani mwaka 2019, na tangu ulipomwona ukaanza kutafuta bunduki na risasi utakayoitumia kumlenga huyo nyoka mahali pale pale alipokuwa mwaka 2019!
Kwa bahati nzuri ukafanikiwa kuipata bunduki na risasi mwaka 2021. Swali: Je, mwaka 2021ukitumia bunduki na risasi kumlenga huyo nyoka mahali alipokuwa mwaka 2019 je utafanikiwa kumpiga na kumwua? Jibu ni hapana! kwa sababu nyoka huyo hatakuwa sehemu hiyo hiyo alipokuwepo mwaka 2019, atakuwa ameenda sehemu nyingine!
Ndivyo ilivyo kwa corona virus. Hii chanjo inayopigiwa debe sasa ililenga kudhibiti corona virus kama alivyokuwa mwaka 2019. Lakini kwa leo sehemu kubwa ya corona imebadilika, kwa hiyo chanjo itakutana na corona tofauti na hakuna uhakika kama itamdhibiti!
Wazungu wanajua hivyo! Lakini kwa kuwa tayari wameshaingia gharama wanalazimisha nchi zote zichangie hiyo gharama huku wakijua hii chanjo imeshapitwa na wakati tayari. Ukikubali kuchukua tu hiyo chanjo utalazimika kuingia mkataba wa kuchangia katika mfuko wa covax unaogharimia chanjo kwa nchi zinazoendelea!! Japo wanakuambia hiyo chanjo ni bure. Hakuna kitu cha bure kwa mzungu!! Nimesoma vizuri masharti ya kunufaika na chanjo za covax!! Ingia kwenye mtandao usome!
Pamoja na kuwa target imeshahama lakini hata kama ingekuwa haijahama, hakuna chanjo salama inayoweza kupatikana kwa mwaka mmoja.. Mwaka mmoja hautoshi kubaini madhara ya muda mrefu kwa mwanadamu. Kinachofanyika kiuhalisia ni kuwa bado hiyo chanjo iko kwenye majaribio. Na walengwa wa majaribio ni waafrika!! Yawezekana kabisa huko Ulaya wanapewa placebo (yaani maji tu), isiyokuwa na madhara! Halafu waafrika wakaikubali eti kwa sababu na wazungu wamechanjwa.
Tusidanganyike! Ni suala la muda tu kila kitu kitadhihirika, wazungu wamedungwa placebo, na hawatakuwa na ujasiri wa kuachana na tahadhari maana wanajua kuwa hawajachanjwa bado! Watukome!
Ili kuielewa dhana hii nitatumia mfano rahisi. Tufananishe kirusi cha corona kama nyoka mkubwa sana na mkali. Huyo nyoka ulimwona mahali fulani mwaka 2019, na tangu ulipomwona ukaanza kutafuta bunduki na risasi utakayoitumia kumlenga huyo nyoka mahali pale pale alipokuwa mwaka 2019!
Kwa bahati nzuri ukafanikiwa kuipata bunduki na risasi mwaka 2021. Swali: Je, mwaka 2021ukitumia bunduki na risasi kumlenga huyo nyoka mahali alipokuwa mwaka 2019 je utafanikiwa kumpiga na kumwua? Jibu ni hapana! kwa sababu nyoka huyo hatakuwa sehemu hiyo hiyo alipokuwepo mwaka 2019, atakuwa ameenda sehemu nyingine!
Ndivyo ilivyo kwa corona virus. Hii chanjo inayopigiwa debe sasa ililenga kudhibiti corona virus kama alivyokuwa mwaka 2019. Lakini kwa leo sehemu kubwa ya corona imebadilika, kwa hiyo chanjo itakutana na corona tofauti na hakuna uhakika kama itamdhibiti!
Wazungu wanajua hivyo! Lakini kwa kuwa tayari wameshaingia gharama wanalazimisha nchi zote zichangie hiyo gharama huku wakijua hii chanjo imeshapitwa na wakati tayari. Ukikubali kuchukua tu hiyo chanjo utalazimika kuingia mkataba wa kuchangia katika mfuko wa covax unaogharimia chanjo kwa nchi zinazoendelea!! Japo wanakuambia hiyo chanjo ni bure. Hakuna kitu cha bure kwa mzungu!! Nimesoma vizuri masharti ya kunufaika na chanjo za covax!! Ingia kwenye mtandao usome!
Pamoja na kuwa target imeshahama lakini hata kama ingekuwa haijahama, hakuna chanjo salama inayoweza kupatikana kwa mwaka mmoja.. Mwaka mmoja hautoshi kubaini madhara ya muda mrefu kwa mwanadamu. Kinachofanyika kiuhalisia ni kuwa bado hiyo chanjo iko kwenye majaribio. Na walengwa wa majaribio ni waafrika!! Yawezekana kabisa huko Ulaya wanapewa placebo (yaani maji tu), isiyokuwa na madhara! Halafu waafrika wakaikubali eti kwa sababu na wazungu wamechanjwa.
Tusidanganyike! Ni suala la muda tu kila kitu kitadhihirika, wazungu wamedungwa placebo, na hawatakuwa na ujasiri wa kuachana na tahadhari maana wanajua kuwa hawajachanjwa bado! Watukome!