Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma hii article kutoka kutoka shirika la habari la Russia Today uone ninachokizungumza tayari watu wamekiandikia paper kwenye scientific journals. Somo hapa:watu wa aina hii ndio wanaosababisha watanzania tuonekane tuna IQ ndogo.
Hahahahah eti watu wanakufa mbona wewe ujafa? Au unadhani watu wameanza kufa mwaka huuNashukuru Mungu kanisaidia nimechanjwa March 4 Texas USA . Achaneni na maneno watu wanakufa.
Hakuna hoja hapo ni upupu mtupu..Kwa akili yako hapo hakuna paragraph? Changia hoja na kama hauwezi pita kimya kimya tu!
Kwani ndege za kivita si ni high speed moving target but still inatunguliwa, tena kirahisi tuu...Jibu hoja ya corona virus is a moving target! Kama huwezi pita kimya!
Ingependeza sana kuweka ushahidi kwa kuweka attachment to support your assertion.... These are very technical and scientific issues, huwezi tuu kukurupuka without any basis. After all no one has forced any nation to take the vaccine, ila ukigoma usitange tange sasa huko kwao maana wao wamejikinga. Mwisho mbona mnahangaika na chanjo ya wazungu badala ya kutengeneza ya kwenu? Si ma profesa wako akina Yunus Mgaya na
Kwani ndege za kivita si ni high speed moving target but still inatunguliwa, tena kirahisi tuu...
Mfano wa ndege uko out of context! Ndege inayoonekana sasa ndiyo inayotunguliwa sasa! Silaha inayoweza kutungua mig 21 kwa leo silaha hiyo haiwezi kutungua F-16!. Ndicho ninachokizungumza! Kwamba umemwona adui yako leo anashambulia kwa kutumia mig 21, halafu kwa jinsi ulivyoichunguza jinsi mig 21 ilivyo, unaanza kutengeneza silaha za kuitungua. Baada ya mwaka mmoja huo unapata hiyo silaha yenye uwezo kabisa wa kutungua mig 21. Lakini unamkuta adui keshabadilisha silaha! Hakushambulii tena kwa kutumia mig 21 lakini anatumia F-16 ultra supersonic jet! Sasa wewe utailenga F-16 kwa kutumia silaha iliyokusudiwa kutungua mig 21, hapo hutafanikiwa!! F-16 itakuangamiza tu!!Kwani ndege za kivita si ni high speed moving target but still inatunguliwa, tena kirahisi tuu...
Sijasema tusifanye chochote! Usinilishe maneno! Ninachosema ni kuwa hizi chanjo zilizopo sasa ambazo watu wanazishadadia zimeshapitwa na wakati kabla hata hazijatumika!! Hata waliozitengeneza hawana uhakika kama zitasaidia kupambana na new coronavirus variants. Nimenukuu kipande cha taarifa kwenye gazeti la Al jazeera, wanavyosema hao WHO kuhusu hizo chanjo, hiki hapa:Umetoa mfano ulio na maana lakini dhana yako ni ya kipumbavu! So kama ni moving target - unasema tusifanye lolote kwa sababu hatutaweza kuja kuipata???
Watu wengi wajinga huongoza kwa kuwa na wasiwasi na hofu kwa mambo weruvu huyafanya!! Nilidhani hata dhana yako imejikita kwenye utafiti, kumbe iko kwenye kuogopa mzungu na nia yake! Mbona husemi hayo hayo kuhusu condom, upasuaji, dawa za ARV, mifumo yao ya elimu nk??
Wasiwasi hakuwahi kuwa kiongozi wa mafanikio!
Hatuzuzungumzii side effects, tunazingumzia uwezo wa chanjo kujikinga na toleo jipya la corona almaarufu kama new coronavirus variants. Ukikumbana nacho hiyo chanjo haina uwezo wa kukukinga!Mtoa hoja si msema ukweli na asiyesema ukweli ni zaidi ya mchawi,nami nimechanjwa hii vaccines na hakuna side effects yeyote na ninajiona nipo ok kabisa
Acha kuandika uongo hapa,wave mpya ya civid 19 inasemekana imeanzia south Africa na hili sio kweli,vaccines iliyotengenezwa na J&J imeonyesha kuzuia hii variants inayosemwa na ndio maana SA walisimamisha ile waliyoagiza India ambayo haikuonyesha mafanikio na pamoja imeletwa wakati ina expire on April,ongepea hao hao wa UPEHatuzuzungumzii side effects, tunazingumzia uwezo wa chanjo kujikinga na toleo jipya la corona almaarufu kama new coronavirus variants. Ukikumbana nacho hiyo chanjo haina uwezo wa kukukinga!
Lakini pia hakuna utafiti uliofanyika juu y madhara ya muda mrefu!