Tetesi: Kuhusu Chuo Kikuu Kampala

Tetesi: Kuhusu Chuo Kikuu Kampala

acheni ubishi kiu walishatatua makero zao last xo may be mengine yamejitokeza ila ninavyojua wameshasolve conflict zao kitambo.
 
Kiu mpaka sasa hakina namba ya usajili nacte..ingia nacte.go.tz nenda registered institution angalia Kiu.kimeandikwa kiucc.....bila namba ya usajili.Msiwe wabishi bila utafiti.wapo wanaobisha na kutetea kwa kuwa hawana sehemu nyingine za kusoma Kiu ndio golden chance kwao.Hiyo kwa MTU ambaye Ana mpango Wa kusoma mm nashauri hiki chuo asikiweke katika machaguo.
 
Kiu kuna watu wanafunzi ambao hawasomi ila at the End unawaona wanamajoho wanagraduate..nenda kawaangalie hawa..MTU mmoja anajiita r.o.t.h.a.kagraduate mwezi Wa kumi mwaka juzi,secretary Wa DIA pale.na receptionist. Na kuna wengine wanafaulu mitihani kwa pesa na kufanya kazi za chuo.kuna Mpemba mmoja alikuwa na sap 9 akaambiwa afanye kazi ya kuwashawishi wanafunzi waliogoma kuingia class na alihaidiwa kusoma pharmacy miaka miwili akawa anafanya kazi na chuo na kuharibu migomo ya wanafunzi..Najua vizuri kuliko kuhusu chuo cha Kampala.Hats Uganda uozo ni huohuo sio tz tuu.
 
Muhimbili hakipo chino ya Nacte na ndio maana application hufanyii by cas ila Kiu kipo na ndio maana unaaply kupitia nacte.Muhimbili na udom.
Chuo ndio uhalisia.
 
Najua waweza ita chuki ila tafuta application ya muhimbili au udom nacte uone Kama utaipata.na vyuo vya government kuanzishwa maana take serikali in plani na inatambua uwepo wake.ndio maana usajili wake haunaga shida..Linganisha Kiu na vyuo vya private bwana.
 
umepanic br..ila chuo ndio ukweli.
Kiu ni chuo cha waliofeli
Na ambao hawana sehemu za kwenda kusoma
 
duuh Jana nimekutana na Dada mmoja anasoma MD tukamuliza anasoma wapi? akasema Kampala International University akajiona mjanja alafu akatamka kuwa na nyie mkasome sasa nilishindwa kuelewa sijui alidhani Nina certificate au!! Maana sisi wengine tumemaliza Chuo cha Taifa UDSM back in 2012!! kwa sisi ambao tunakijua hicho chuo asingethubutu hata kukitaja..!!
 
umepanic br..ila chuo ndio ukweli.
Kiu ni chuo cha waliofeli
Na ambao hawana sehemu za kwenda kusoma
huyo atakua anasoma hapo si umeona mapovu yanavomtoka teh the teh teh ukweli huwa unauma balaa sindano ya moto imechoma mpaka kumoyo.
 
Muhimbili hakipo chino ya Nacte na ndio maana application hufanyii by cas ila Kiu kipo na ndio maana unaaply kupitia nacte.Muhimbili na udom.
Chuo ndio uhalisia.

....nimesoma post zako zote nikagundua unachuki na KIU....ingia CAS utaikuta KIU.
 
Kuna vituko jamii uyo jamaa alisema yeye alikua kiu na anakijua vizuri,je na wewe ulifeli?mie nazani uozo kampala ushapatiwa ufumbuzi atusikii lolote siku izi.
 
Na kama ulifeli umerudia mtihani?je upo chuo gani?karibu sua kijana.
 
umepanic br..ila chuo ndio ukweli.
Kiu ni chuo cha waliofeli
Na ambao hawana sehemu za kwenda kusoma
umepanic br..ila chuo ndio ukweli.
Kiu ni chuo cha waliofeli
Na ambao hawana sehemu za kwenda kusoma
mkuu acha kupotosha umma wa Watanzania, kwanza nakubaliana nawe kwamba kiu ilikuwa na changamoto lukuki mwaka jana ila Kwa sasa hali no shwari..... ni kawaida ya website za hapa bongo kutokuwa updated, Nina ndugu Yangu alisoma pale cert ya pharmacy, ndio kipindi kati ya wanafunzi mia tatu mia mbili wakahama wakabaki chini ya mia, lakini chuo kikapatiwa usajili waliobaki wakaendelea, tatizo limeisha na nakuhakikishia hilo maana nilifika pale chuoni kuhakiki hilo....

pia wewe hujiulizi kwann kwenye guideline ya nacte IPO na inapokea wanafunzi wengi sana, Kwa mfano Kwa cert na diploma ya kozi za afya wanachukua wanafunzi 800 per intake Kwa kila kozi....

halafu mkuu punguza ghadhabu na chuki binafsi

Rudi kaulizie kama hakijasajiliwa....

una mission ya kuharibia Kampala jina....Na ushindwe Kwa hilo...
 
Triple G ,,, karibu st Francis kijana ..... enhe niambie umemaliza UDSM ,,,,Bachelor of Arts in Sociology au Bachelor of Education in Early Childhood Education ???
hahahaha nilipiga CONAS(College of Natural and Applied sciences) Bsc in Chemistry mkuu!!
 
Back
Top Bottom