Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo atakua anasoma hapo si umeona mapovu yanavomtoka teh the teh teh ukweli huwa unauma balaa sindano ya moto imechoma mpaka kumoyo.umepanic br..ila chuo ndio ukweli.
Kiu ni chuo cha waliofeli
Na ambao hawana sehemu za kwenda kusoma
Muhimbili hakipo chino ya Nacte na ndio maana application hufanyii by cas ila Kiu kipo na ndio maana unaaply kupitia nacte.Muhimbili na udom.
Chuo ndio uhalisia.
umepanic br..ila chuo ndio ukweli.
Kiu ni chuo cha waliofeli
Na ambao hawana sehemu za kwenda kusoma
mkuu acha kupotosha umma wa Watanzania, kwanza nakubaliana nawe kwamba kiu ilikuwa na changamoto lukuki mwaka jana ila Kwa sasa hali no shwari..... ni kawaida ya website za hapa bongo kutokuwa updated, Nina ndugu Yangu alisoma pale cert ya pharmacy, ndio kipindi kati ya wanafunzi mia tatu mia mbili wakahama wakabaki chini ya mia, lakini chuo kikapatiwa usajili waliobaki wakaendelea, tatizo limeisha na nakuhakikishia hilo maana nilifika pale chuoni kuhakiki hilo....umepanic br..ila chuo ndio ukweli.
Kiu ni chuo cha waliofeli
Na ambao hawana sehemu za kwenda kusoma
hahahaha nilipiga CONAS(College of Natural and Applied sciences) Bsc in Chemistry mkuu!!Triple G ,,, karibu st Francis kijana ..... enhe niambie umemaliza UDSM ,,,,Bachelor of Arts in Sociology au Bachelor of Education in Early Childhood Education ???