Kuhusu chuo

Kuhusu chuo

Joined
Jun 16, 2014
Posts
40
Reaction score
3
Mdogo wangu kamaliza mwaka huu form six hajachaguliwa bado kwnd jeshini hvy anajipanga na chuo; amesomea PGM ; nataka kujuzwa chuo wanaanza lini process za admission? Na je mambo ya mkopo yakoje kama atataka kusoma nje? Kwan anapenda kusomea urubani ila ikitokea hajachaguliwa kwny hyo faculty je degree ya kwanza anaweza kusomea nini? Naomba msaada
 
Back
Top Bottom