Mkudisingo
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 421
- 122
Kuna jambo limekuwa likinitatiza kidogo. Ni kuhusu hizi dawa za kuzuia virusi vya UKIMWI kwa wasichana waliobakwa! Sasa kama mtu kishabakwa maana yake tayari ana maambukizi ya virus halafu anapewa dawa ya kuviondoa.. Sasa si tayari dawa ipooo!
Haya, huwa wanapewa muda labda tangu kugegedwa na kibaka isiwe nje ya muda wa masaa sijui shirini na nne, sasa swali langu hapo, Je, imeshindikana kabisa kutafuta dawa ambayo haitazingatia mtu kagegedwa kinguvu, sangapi au sio tu ziwepo Polisi au hospital ziuzwe hata huku kwenye Mafamasia kama zinavyouzwa Kondomu, ili mtu akigegeda sampuli yenye mashaka akajinywee mapema?!
Haya, huwa wanapewa muda labda tangu kugegedwa na kibaka isiwe nje ya muda wa masaa sijui shirini na nne, sasa swali langu hapo, Je, imeshindikana kabisa kutafuta dawa ambayo haitazingatia mtu kagegedwa kinguvu, sangapi au sio tu ziwepo Polisi au hospital ziuzwe hata huku kwenye Mafamasia kama zinavyouzwa Kondomu, ili mtu akigegeda sampuli yenye mashaka akajinywee mapema?!