Kichaa Msafi
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 1,087
- 2,134
Ndugu zangu,
Muamini au msiamini mimi nilikuwa muhanga wa punyeto na kupungiwa hamu ya kufanya tendo la ndoa.
Lakini kuna thread mbili zilikuja humu moja ni kuhusu kitunguu maji, mkaa, mkate na Asali, nyingine ilikuwa ni kitunguu swaum kukata kata kama sles peke sita za kitunguu sahumu na kukiacha kwa dakika kumi baada ya kukata then unakunywa kama panadol vile, after one day u repeat again, sasa mimi nimetumia zote mbili, na matokeo yake ni mazuri sana kwangu.
Nilikuwa natumia dakika zisizozidi tano sasa baada ya kutumia hizo dawa zot e mbili najikuta now natumia 30 minutes and above, but I dont know which medicine has helped me to get that power i have now. So guys it's better to try it
Muamini au msiamini mimi nilikuwa muhanga wa punyeto na kupungiwa hamu ya kufanya tendo la ndoa.
Lakini kuna thread mbili zilikuja humu moja ni kuhusu kitunguu maji, mkaa, mkate na Asali, nyingine ilikuwa ni kitunguu swaum kukata kata kama sles peke sita za kitunguu sahumu na kukiacha kwa dakika kumi baada ya kukata then unakunywa kama panadol vile, after one day u repeat again, sasa mimi nimetumia zote mbili, na matokeo yake ni mazuri sana kwangu.
Nilikuwa natumia dakika zisizozidi tano sasa baada ya kutumia hizo dawa zot e mbili najikuta now natumia 30 minutes and above, but I dont know which medicine has helped me to get that power i have now. So guys it's better to try it