Pre GE2025 Kuhusu Elimu: Nini sifa za mgombea Urais 2025?

Pre GE2025 Kuhusu Elimu: Nini sifa za mgombea Urais 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Wadau naomba nikumbushwe na kisha tujadili kwa faida mapana ya nchi yetu.

Kama sijakosea Kuna mwaka fulani kigezo cha mgombea Urais kiliwekwa kuwa ni pamoja na kuwa na walau digrii moja bila kueleza ni ya nini. Kigezo hiki kilimfanya Frederick Sumaye kukimbilia Marekani kusaka digrii. Hali kadhalika na Augustine Mrema naye akatafuta digrii. Bila shaka ni 1995 au 2000 (naweza kukosolewa).

Swali ni je, kigezo hiki bado kipo kwenye Tume Huru ya Uchaguzi? Je, wagombea wetu kutoka Vyama mbalimbali nafasi ya Urais wana-meet kigezo hiki? Kama kiliondolewa hatuoni Kuna haja ya kuwa na kigezo hiki tena kwa nyongeza iwe ni fani maalumu si kila fani. Na hapa nitapendekeza wachumi ndio watuongoze?
 
Kigezo cha angalau shahada ya kwanza kwa wagombea urais kipo pale pale, hakijaondolewa na hakitaondolewa labda kinaweza kuimarishwa zaid kulingana na mahitaji 🐒

Mgombea urais asie kua na kigezo hiki hatakua na sifa ya kugombea urais na kwahivyo hatakua niongoni mwa wagombea watakao idhinishwa na tume huru kwenda kuomba kura kwa wananchi 🐒

maoni ya fani maalumu yana uelekeo wa kibaguzi.

Na pendekezo la kwamba mchumi apewe kipaumbele kugombea uRais si mbaya, lakini mi nadhani huyo mchumi anaeweza kutusaidia vizuri zaidi katika kumshauri Rais katika masuala ya uchumi maana kwenye utawala atatusumbua sana 🐒🐒
 
kigezo cha angalau shahada ya kwanza kwa wagombea urais kipo pale pale, hakijaondolewa na hakitaondolewa labda kinaweza kuimarishwa zaid kulingana na mahitaji 🐒

Mgombea urais asie kua na kigezo hiki hatakua na sifa ya kugombea urais na kwahivyo hatakua niongoni mwa wagombea watakao idhinishwa na tume huru kwenda kuomba kura kwa wananchi 🐒

maoni ya fani maalumu yana uelekeo wa kibaguzi.

Na pendekezo la kwamba mchumi apewe kipaumbele kugombea uRais si mbaya,

lakini mi nadhani huyo mchumi anaeweza kutusaidia vizuri zaidi katika kumshauri Rais katika masuala ya uchumi maana kwenye utawala atatusumbua sana 🐒🐒
Kama bado kipo basi naona wengi wanaotajwa kukwama
 
Kama bado kipo basi naona wengi wanaotajwa kukwama
kama hawana hicho kigezo,
wacheck nafasi nyingine zenye sifa na vigezo walivyonavyo, huenda wakapata nafasi na wao wakapata fursa za kuchangia ujuzi, fikra na mipango yao katika ujenzi wa Taifa 🐒

serikali za mitaa nafasi ipo, udiwani kule kwenye kata fursa ipo lakini pia ubunge kule majimboni fursa vilevile ipo 🐒
 
Kwa hiyo Hangaya hana sifa ya kugombea urais ?.Kama ni hivyo basi kwenye Chama cha Mambuzi kutawaka moto,maana wengi hiyo nafasi wanaitaka.Habari hii iende moja kwa moja kwa Lucas Mbwa wa shamba.
 
Wadau naomba nikumbushwe na kisha tujadili kwa faida mapana ya nchi yetu.

Kama sijakosea Kuna mwaka fulani kigezo cha mgombea Urais kiliwekwa kuwa ni pamoja na kuwa na walau digrii moja bila kueleza ni ya nini. Kigezo hiki kilimfanya Frederick Sumaye kukimbilia Marekani kusaka digrii. Hali kadhalika na Augustine Mrema naye akatafuta digrii. Bila shaka ni 1995 au 2000 (naweza kukosolewa).

Swali ni je, kigezo hiki bado kipo kwenye Tume Huru ya Uchaguzi? Je, wagombea wetu kutoka Vyama mbalimbali nafasi ya Urais wana-meet kigezo hiki? Kama kiliondolewa hatuoni Kuna haja ya kuwa na kigezo hiki tena kwa nyongeza iwe ni fani maalumu si kila fani. Na hapa nitapendekeza wachumi ndio watuongoze?
Kuna sifa nyingine za ziada
 
Back
Top Bottom