Tulijaza fomu za kuomba kulipwa fedha za likizo tangu mwezi wa 11 mwaka jana, mpaka leo hakuna kitu kilichofanyika, hata wale walioomba malipo hayo mwezi wa sita mwaka jana hakuna malipo waliyopewa. Tunafungua shule trh 13 yaani wiki ijayo, je tukigoma kuingia madarasani kufundisha hali itakuwaje? Nikuombe tu afisa elimu wilaya ya Busega ndg Yasini usije ukathubutu kufika shuleni ninakofundisha na kuniomba scheme of work kabla sijalipwa fedha hizo, vinginevyo utajuta kunifahamu. Sikutishii ila huo ndio uhalisia! Siku njema kwenu waalimu, tuamke na kuikataa serikali kandamizi ya kifisadi ya CCM!