Mechi ya jana Kocha alikua najaribu uwezo wa timu wa kujilinda na kushambulia kwa kushtukiza, jambo ambalo alifanikisha ni kujilinda nampa 70% ila mashambulizi ya kushtukiza nampa 30%, na ilishindikana baada ya viungo wake kukaba vizuri lakini wakashindwa kutoa pasi zinazofika kwa washambuliaji......all in all bado tuko vizuri