alliJAY4_four
Senior Member
- May 4, 2017
- 173
- 94
Kutokana na match ya jana ya Egypt vs Tanzania jana, nini umejifunza? nini umekona? unahis kocha wetu ashauriwe kitu gani ili michuano ikianza rasmi tusitoe boko?
Cus midfield ya jana mimi naona kama haijafanya kitu kwakweli...feisal toto, mao dah naona kama walipoteana kabisa
Cus midfield ya jana mimi naona kama haijafanya kitu kwakweli...feisal toto, mao dah naona kama walipoteana kabisa