Ndugu wanajamiii forum habari za wakati huu, naomba mwenye kujua kuhusu gari aina ya Nissan duals, matumizi ya mafuta, na upatikanaji wa Spears na changamoto zingine, na vp kununua used kwa mtu maana nyingi zinauzwa Sana mtaani je zinakuwa Kuna changamoto inayopelekea hizi gari kuuzwa, na je Bora kuagiza nje au hata used inafaa.
naomba ushauri wenu Wana jamiii naielewa Sanaa hii gari!!
Kweli Wabongo noma, anacheza karata huku anawaponda wataalamu waliopo Japan anasema wanatengeneza gari trash.
"Ukisiliza ya waaaatu haki ya Mungu hutoboi"Kweli Wabongo noma, anacheza karata huku anawaponda wataalamu waliopo Japan anasema wanatengeneza gari trash.
Hawa wapuuzi wamekaa wakaongea nini sasa? Eti Nissan sio gari sasa ni bajaji au pikipiki? Hizi ndio story za vijiweni....
Kwa hiyo hizi mbuzi [emoji238][emoji238][emoji238] mbili hapa zinatosha kutoa conclusion kuwa Nissan hazifai...