safari hii ni kumi acha watano tatizo wabongo wanapocheza mechi za kimataifa wanapanic hawatulii
Mimi kinachoniuzi kuhusu wachezaji wa Kitanzania ni Kutokuwa na self awareness and determination sijui ni watu gani wasiokuwa na wivu wa maendeleo HENCE KUJITUMA KWA NGUVU ZAO ZOTE.