Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Et nimesikia baadhi ya klabu zinadai kuwa wachezaji watano tu wa kimataifa hawatoshi kuipa timu
uwezo wa kupambana na timu kubwa Afrika mfano TP Mazembe.,. Hii hoja ina mantiki kweli?
Hebu tujiulize hao watano tu waliopo ni yupi anaweza kupata namba kirahisi Tp Mazembe?
Mbona wengi wao hata benchi la Tp Mazembe hawawezi kulipata?
Hivi unaweza kuchukua wachezaji woote wa kigeni wanaocheza bongo ukaunda kikosi hatari nkinachoweza kuitoa Tp Mazembe klabu bingwa?
Nachelea kusema kwamba ukiunda first eleven ya maproo watupu waliopo Ligi ya Bongo waunde tim moja na ishiriki ligi kuu ya vodacom haiwezi kuchukua hata nafasi mbili za juu.
uwezo wa kupambana na timu kubwa Afrika mfano TP Mazembe.,. Hii hoja ina mantiki kweli?
Hebu tujiulize hao watano tu waliopo ni yupi anaweza kupata namba kirahisi Tp Mazembe?
Mbona wengi wao hata benchi la Tp Mazembe hawawezi kulipata?
Hivi unaweza kuchukua wachezaji woote wa kigeni wanaocheza bongo ukaunda kikosi hatari nkinachoweza kuitoa Tp Mazembe klabu bingwa?
Nachelea kusema kwamba ukiunda first eleven ya maproo watupu waliopo Ligi ya Bongo waunde tim moja na ishiriki ligi kuu ya vodacom haiwezi kuchukua hata nafasi mbili za juu.