Kuhusu kesi ya Elizabeth Michael; Luquman Maloto, kama humjui Mungu dunia itakutesa!

NA JASHO LA NITIRIRIKA KWA AYA YAKO YA MWISHO

KUWA MUBABE ULE YA DUNIA/HAKI NI MBINGUNI
 
Inabidi ufungiwe maisha.

Ni kosa kubwa sana kumdhihaki marehemu.

Cc:jamiiforums

Active moderator
 
Inabidi ufungiwe maisha.

Ni kosa kubwa sana kumdhihaki marehemu.

Cc:jamiiforums

Active moderator

Nakukumbusha watu walimdhihaki hata Yesu pale msalabani itakua Kanumba tena kafa kwenye uzinzi na ulevi,ukifa na hadithi yako imeisha hauna tena jipya acha waliobaki waendelee na maisha wakisubiri siku yao.
 
Hahaha
Mkuu kwani huwa hushuhudii Lori kubwa linamshinda Dereva?
Kwahyo kanumba alijidondosha mwenyewe?
Hakuna dereva aliyewahi kutokea duniani akaangusha gari. Gari huanguka lenyewe kwa sababu mbalimbali. Yaweza kuwa njia mbaya, makorongo, mlima au mteremko mkali pasina uhimili madhubuti au hitilafu ya sehemu katika gari hilo.
 
Mkuu umesahau kuwa Daudi alimuua Goliati
 
Kwa bahati mbaya sheria huwa haiangalii Mungu anasemaje ila inangalia Katiba inasemaje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…