General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Mkuu viagra ndio sababu ya kifo chake?Viagra haijawahi kumuacha mtu salama, kuanzia Chinjachinja mpaka Kanumba The Great.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu viagra ndio sababu ya kifo chake?Viagra haijawahi kumuacha mtu salama, kuanzia Chinjachinja mpaka Kanumba The Great.
Inabidi ufungiwe maisha.KAMA HUMJUI MUNGU DUNIA ITAKUTESA!
Kwa Kanumba yule nimjuaye mimi. Na Lulu yule ninayemfahamu. Doooh! Ningekuwa Jaji wa kesi ya Lulu, ningekuwa nasikiliza kesi kama simulizi fulani ya mapenzi ili kuongeza ufahamu wa visa vya walimwengu.
Hata hivyo, mwisho kabisa wakati wa kutoa hukumu ningemwachia Lulu huru bila kuzingatia ni ushahidi kiasi gani unamtia hatiani.
Kwa ka-Lulu kale na li-Kanumba lile. Aisee, nini kumdondosha chini, hata kumtikisa apepesuke Lulu asingeweza, acha kuanguka na kifo juu.
Ukiliangalia li-Kanumba lile na ukakaangalia ka-Lulu kale, unajua tu kuwa siku ziliwadia. Na zikifika ni Mungu tu anayejua.
Ni hapo ndipo ubabe wa Mungu unapoonekana. Ka-Lulu kale kamekuwa sababu ya kifo cha li-Kanumba lile bila silaha. Halafu miuaji ile mizezeta na mi-SMG yao na risasi zao 40, imeshindwa kumuua Lissu ambaye hakuwa amevaa bulletproof.
Kama humjui Mungu hii dunia itakutesa sana.
Ndimi Luqman MALOTO
Bourne ultimatumYaaap, The Bourne Identity
Aisee, aah kweli we Pagan.Marehemu wenyewe alikuwa anakandamiza mkuyenge vitoto ambavyo havina hata chuchu? Yule alikuwa monster
Hakuna dereva aliyewahi kutokea duniani akaangusha gari. Gari huanguka lenyewe kwa sababu mbalimbali. Yaweza kuwa njia mbaya, makorongo, mlima au mteremko mkali pasina uhimili madhubuti au hitilafu ya sehemu katika gari hilo.Hahaha
Mkuu kwani huwa hushuhudii Lori kubwa linamshinda Dereva?
Kwahyo kanumba alijidondosha mwenyewe?
Mkuu umesahau kuwa Daudi alimuua GoliatiKAMA HUMJUI MUNGU DUNIA ITAKUTESA!
Kwa Kanumba yule nimjuaye mimi. Na Lulu yule ninayemfahamu. Doooh! Ningekuwa Jaji wa kesi ya Lulu, ningekuwa nasikiliza kesi kama simulizi fulani ya mapenzi ili kuongeza ufahamu wa visa vya walimwengu.
Hata hivyo, mwisho kabisa wakati wa kutoa hukumu ningemwachia Lulu huru bila kuzingatia ni ushahidi kiasi gani unamtia hatiani.
Kwa ka-Lulu kale na li-Kanumba lile. Aisee, nini kumdondosha chini, hata kumtikisa apepesuke Lulu asingeweza, acha kuanguka na kifo juu.
Ukiliangalia li-Kanumba lile na ukakaangalia ka-Lulu kale, unajua tu kuwa siku ziliwadia. Na zikifika ni Mungu tu anayejua.
Ni hapo ndipo ubabe wa Mungu unapoonekana. Ka-Lulu kale kamekuwa sababu ya kifo cha li-Kanumba lile bila silaha. Halafu miuaji ile mizezeta na mi-SMG yao na risasi zao 40, imeshindwa kumuua Lissu ambaye hakuwa amevaa bulletproof.
Kama humjui Mungu hii dunia itakutesa sana.
Ndimi Luqman MALOTO
Siku hizi watu wanaingilia tu. Hamna haja kama mkubwa hajali.Huku ni kuingilia uhuru wa mahakama, afunge mdomo wake akae kimya!