painboy
Senior Member
- Dec 27, 2019
- 110
- 51
Habarini wakuu wa hili jukwaa la urembo..
Mimi ni boy katika maisha yangu nilishatamani kuchora tatoo kwenye mkono ila ndoto kidogo zikanitisha ila kwa sasa napenda nichore tatoo.
Je mnanishauri nini? Je ni yapi madhara? Sehemu gani nzuri kuchora? Njooni mnipe uzoefu wenu wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni boy katika maisha yangu nilishatamani kuchora tatoo kwenye mkono ila ndoto kidogo zikanitisha ila kwa sasa napenda nichore tatoo.
Je mnanishauri nini? Je ni yapi madhara? Sehemu gani nzuri kuchora? Njooni mnipe uzoefu wenu wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app