Kuhusu kuokoa penati

Kuhusu kuokoa penati

Umkonto

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2018
Posts
2,652
Reaction score
4,593
Kwa nilichokiona jana katika mechi ya South Africa na Cape Verde, ili kipa aokoe penati ni lazima auone kabisa mpira unaenda wapi lakini awe mwepesi kuruka, la sivyo hataupata mpira. Wale makipa wanaotegemea kuokoa penati kwa kuhisi mpigaji atapiga wapi, ndio hao ambao wanaruka huku, mpira unaenda kule.

Kwa jana, Golikipa wa South Africa, Ronwen Williams alikuwa anaokoa penati siyo tu kwa kujirusha kwa kuhisi, bali alikuwa anaruka kwa kufuata mwelekeo wa mpira. Maana yake alikuwa anauona kabisa mpira unapoelekea. Hata penati moja iliyoingia aliifuata ila alichelewa kuifikia.

Jana ndiyo nimegundua jamaa habahatishi bali ana uwezo.

Magolikipa hebu jifunzeni kwa Ronwen Williams, ikiwezekana mwende hata kujifunza awape mbinu za mafanikio.
 
Akili yangu hii butu inanidanganya kwamba eti ahly hakufika final ya super league?
 
Kwa nilichokiona jana katika mechi ya South Africa na Cape Verde, ili kipa aokoe penati ni lazima auone kabisa mpira unaenda wapi lakini awe mwepesi kuruka, la sivyo hataupata mpira. Wale makipa wanaotegemea kuokoa penati kwa kuhisi mpigaji atapiga wapi, ndio hao ambao wanaruka huku, mpira unaenda kule.

Kwa jana, Golikipa wa South Africa, Ronwen Williams alikuwa anaokoa penati siyo tu kwa kujirusha kwa kuhisi, bali alikuwa anaruka kwa kufuata mwelekeo wa mpira. Maana yake alikuwa anauona kabisa mpira unapoelekea. Hata penati moja iliyoingia aliifuata ila alichelewa kuifikia.

Pia, huyu jamaa alifuta penati ndani ya mchezo wa fainali ya Super League baina Al Alhly na Mamelod Sundowns.

Jana ndiyo nimegundua jamaa habahatishi bali ana uwezo.

Magolikipa hebu jifunzeni kwa Ronwen Williams, ikiwezekana mwende hata kujifunza awape mbinu za mafanikio.
Upewe Taifa Stars uwe unawafundisha akina Manula
 
Nadhani kuna namna anatumia kuggundua mpigaji atapiga wapi. Ule umbali ni mfupi ssana kwa golikipa kusevu penati just kwa kufuata muelekeo wa mpira unless mpigaji awe amepiga kwa nguvu ndogo.
Sijui jamaa anatumia mbinu gani! Kwa sababu anaruka mpira unapoelekea.
 
Uwezekano wa kuokoa penalti zilizopigwa chini ya usawa wa kifua cha kipa ni mkubwa kuliko kinyume chake.
Ila kupiga kinyume chake nako kuna hatari ya kukosa kwa kupaisha hasa shuti likiwa kubwa.
 
Kwa nilichokiona jana katika mechi ya South Africa na Cape Verde, ili kipa aokoe penati ni lazima auone kabisa mpira unaenda wapi lakini awe mwepesi kuruka, la sivyo hataupata mpira. Wale makipa wanaotegemea kuokoa penati kwa kuhisi mpigaji atapiga wapi, ndio hao ambao wanaruka huku, mpira unaenda kule.

Kwa jana, Golikipa wa South Africa, Ronwen Williams alikuwa anaokoa penati siyo tu kwa kujirusha kwa kuhisi, bali alikuwa anaruka kwa kufuata mwelekeo wa mpira. Maana yake alikuwa anauona kabisa mpira unapoelekea. Hata penati moja iliyoingia aliifuata ila alichelewa kuifikia.

Jana ndiyo nimegundua jamaa habahatishi bali ana uwezo.

Magolikipa hebu jifunzeni kwa Ronwen Williams, ikiwezekana mwende hata kujifunza awape mbinu za mafanikio.
Kuna video inasambaa Williams anaongea na video analyst mmoja benchi la ufundi la Bafana Bafana kabla ya mechi.

Anamwambia kwahiyo penati nne zote zitapigwa upande mmoja na moja itapigwa tofauti so kipa anataka kujua atakae ipiga hiyo ya tofauti ni mchezaji gani wa Cape Verde.

Ukiweza kuitumia vizuri teknolojia unakuwa mbele ya wakati. South walishawasoma Cape Verde namna wanavyopiga penati na wakafanyia kazi
 
Nadhani kuna namna anatumia kuggundua mpigaji atapiga wapi. Ule umbali ni mfupi ssana kwa golikipa kusevu penati just kwa kufuata muelekeo wa mpira unless mpigaji awe amepiga kwa nguvu ndogo.
Kuna mtangazaji wa DSTV alikuwa anasema jamaa anasubiri mpira upigwe kwanza halafu ndo anaufuata,nikarudia video ni kweli,mpira unapigwa yeye ndo anaruka.....lakini kipa akihojiwa alisema match analyst wao alimwambia majina ya wachezaji kwamba hawa wanne watapiga kulia na mmoja kushoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna video inasambaa Williams anaongea na video analyst mmoja benchi la ufundi la Bafana Bafana kabla ya mechi.

Anamwambia kwahiyo penati nne zote zitapigwa upande mmoja na moja itapigwa tofauti so kipa anataka kujua atakae ipiga hiyo ya tofauti ni mchezaji gani wa Cape Verde.

Ukiweza kuitumia vizuri teknolojia unakuwa mbele ya wakati. South walishawasoma Cape Verde namna wanavyopiga penati na wakafanyia kazi
Kuna kipindi kipa wa Cape Verde kashika kama kitaulo hivi kachuchuma kama anasali, wanasema alikuwa anasoma list ya wapigaji wa south africa ila ndo hivo alifeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi kipa wa Cape Verde kashika kama kitaulo hivi kachuchuma kama anasali, wanasema alikuwa anasoma list ya wapigaji wa south africa ila ndo hivo alifeli

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana Vuzinya, lakini aliokoa na mwili nyumba ulisaidia mpigaji mmoka kupaisha.
 
Kuna wataalamu wa kufanya analysis za penalty tu wameajiriwa na club kubwa Duniani na wanalipwa pesa nyingi tu, miaka nenda miaka Rudi... Ila walishagundua kipa hawezi kua anaangalia muelekeo wa mpira ndo anaufata, 90% atafeli tu....

Ndo maana wakaona hakuna namna kipa afate instincts au maelekezo watakaompa.... Ndo maana unaona makipa wanaruka kabla ya mpira kupigwa... Jana ronwen Williams alikua na instincts nzuri tu ndo maana alifata penalty zote, it's just a coincidence.... Angalia penalty nyingi tu za nyuma akiwa mamelodi anapelekwa maboya tu kama kawaida
 
Kwa nilichokiona jana katika mechi ya South Africa na Cape Verde, ili kipa aokoe penati ni lazima auone kabisa mpira unaenda wapi lakini awe mwepesi kuruka, la sivyo hataupata mpira. Wale makipa wanaotegemea kuokoa penati kwa kuhisi mpigaji atapiga wapi, ndio hao ambao wanaruka huku, mpira unaenda kule.

Kwa jana, Golikipa wa South Africa, Ronwen Williams alikuwa anaokoa penati siyo tu kwa kujirusha kwa kuhisi, bali alikuwa anaruka kwa kufuata mwelekeo wa mpira. Maana yake alikuwa anauona kabisa mpira unapoelekea. Hata penati moja iliyoingia aliifuata ila alichelewa kuifikia.

Jana ndiyo nimegundua jamaa habahatishi bali ana uwezo.

Magolikipa hebu jifunzeni kwa Ronwen Williams, ikiwezekana mwende hata kujifunza awape mbinu za mafanikio.
Pengine ni kipaji alichozaliwa nacho .
 
Kwa nilichokiona jana katika mechi ya South Africa na Cape Verde, ili kipa aokoe penati ni lazima auone kabisa mpira unaenda wapi lakini awe mwepesi kuruka, la sivyo hataupata mpira. Wale makipa wanaotegemea kuokoa penati kwa kuhisi mpigaji atapiga wapi, ndio hao ambao wanaruka huku, mpira unaenda kule.

Kwa jana, Golikipa wa South Africa, Ronwen Williams alikuwa anaokoa penati siyo tu kwa kujirusha kwa kuhisi, bali alikuwa anaruka kwa kufuata mwelekeo wa mpira. Maana yake alikuwa anauona kabisa mpira unapoelekea. Hata penati moja iliyoingia aliifuata ila alichelewa kuifikia.

Jana ndiyo nimegundua jamaa habahatishi bali ana uwezo.

Magolikipa hebu jifunzeni kwa Ronwen Williams, ikiwezekana mwende hata kujifunza awape mbinu za mafanikio.
Kaseja pia alikuwa anatumia hii akili, hatoki hadi upige mpira, na hapo kinachobaki ni speed ya kipa kuufuata mpira
 
Nadhani kuna namna anatumia kuggundua mpigaji atapiga wapi. Ule umbali ni mfupi ssana kwa golikipa kusevu penati just kwa kufuata muelekeo wa mpira unless mpigaji awe amepiga kwa nguvu ndogo.
Mchezaji akilenga kwenye karibu na nguzo ya goli eg sentimita mbili kutoka kwenye nguzo kwa ndani na shuti likiwa kali, kipa haokoi hata kama atajua upande unaopiga. Kusema hivi sikatai kuwa kipa wa South Africa alikuwa mzuri kwenye kuokoa, bali na wale wapigaji wa Cape Verde nao walipiga karibu mno na kipa.
 
MNACHOPASWA KUJIFUNZA WATANZANIA.

MSIONE VTAELEA VIMEUNDWA.

Wale wachezaji wa South wamepikwa wakapikika, ni Vijana waliokulia Academy wakafundishwa mpira.

Mamelody Imetoa zaidi ya wachezaji 8 kwenye Timu ya Taifa ya RSA.

Uwekezaji wa Chupli wa akina Mo na hizi siasa za simba na Yanga zinaua kabisa kabisa mpira wa Tanzania.

AIBU SANA
 
Back
Top Bottom