rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Tuna Mwameja, Kaseja ni mabingwa wa kutoka penati tujifunze kwao.
Kipa akitaka kudaka penati asubiri mpaka mpira upigwe ajue inaelekea wapi na sio kuangalia miguu, penati zikipigwa usawa wa juu ya mabega ya kipa pembeni ni ngumu kudaka.
Kipa akitaka kudaka penati asubiri mpaka mpira upigwe ajue inaelekea wapi na sio kuangalia miguu, penati zikipigwa usawa wa juu ya mabega ya kipa pembeni ni ngumu kudaka.