rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kuna mtangazaji wa DSTV alikuwa anasema jamaa anasubiri mpira upigwe kwanza halafu ndo anaufuata,nikarudia video ni kweli,mpira unapigwa yeye ndo anaruka.....lakini kipa akihojiwa alisema match analyst wao alimwambia majina ya wachezaji kwamba hawa wanne watapiga kulia na mmoja kushoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio. mfano mzuri ni ile moja aliyoifata lakini ilikua mbali sana.Mchezaji akilenga kwenye karibu na nguzo ya goli eg sentimita mbili kutoka kwenye nguzo kwa ndani na shuti likiwa kali, kipa haokoi hata kama atajua upande unaopiga. Kusema hivi sikatai kuwa kipa wa South Africa alikuwa mzuri kwenye kuokoa, bali na wale wapigaji wa Cape Verde nao walipiga karibu mno na kipa.
Mmmh wapigaji nao hamna kitu. Ila kwa hiyo mechi kajitahidi.Kwa nilichokiona jana katika mechi ya South Africa na Cape Verde, ili kipa aokoe penati ni lazima auone kabisa mpira unaenda wapi lakini awe mwepesi kuruka, la sivyo hataupata mpira. Wale makipa wanaotegemea kuokoa penati kwa kuhisi mpigaji atapiga wapi, ndio hao ambao wanaruka huku, mpira unaenda kule.
Kwa jana, Golikipa wa South Africa, Ronwen Williams alikuwa anaokoa penati siyo tu kwa kujirusha kwa kuhisi, bali alikuwa anaruka kwa kufuata mwelekeo wa mpira. Maana yake alikuwa anauona kabisa mpira unapoelekea. Hata penati moja iliyoingia aliifuata ila alichelewa kuifikia.
Jana ndiyo nimegundua jamaa habahatishi bali ana uwezo.
Magolikipa hebu jifunzeni kwa Ronwen Williams, ikiwezekana mwende hata kujifunza awape mbinu za mafanikio.
Halafu wakadake penalt wapiUpewe Taifa Stars uwe unawafundisha akina Manula
AFCON ijayoHalafu wakadake penalt wapi
Usiitaje Yanga kwenye vitu vya kijinga we taja kolo lako hiloMNACHOPASWA KUJIFUNZA WATANZANIA.
MSIONE VTAELEA VIMEUNDWA.
Wale wachezaji wa South wamepikwa wakapikika, ni Vijana waliokulia Academy wakafundishwa mpira.
Mamelody Imetoa zaidi ya wachezaji 8 kwenye Timu ya Taifa ya RSA.
Uwekezaji wa Chupli wa akina Mo na hizi siasa za simba na Yanga zinaua kabisa kabisa mpira wa Tanzania.
AIBU SANA
Waende Sauzi kufuata nini?Kwa nilichokiona jana katika mechi ya South Africa na Cape Verde, ili kipa aokoe penati ni lazima auone kabisa mpira unaenda wapi lakini awe mwepesi kuruka, la sivyo hataupata mpira. Wale makipa wanaotegemea kuokoa penati kwa kuhisi mpigaji atapiga wapi, ndio hao ambao wanaruka huku, mpira unaenda kule.
Kwa jana, Golikipa wa South Africa, Ronwen Williams alikuwa anaokoa penati siyo tu kwa kujirusha kwa kuhisi, bali alikuwa anaruka kwa kufuata mwelekeo wa mpira. Maana yake alikuwa anauona kabisa mpira unapoelekea. Hata penati moja iliyoingia aliifuata ila alichelewa kuifikia.
Jana ndiyo nimegundua jamaa habahatishi bali ana uwezo.
Magolikipa hebu jifunzeni kwa Ronwen Williams, ikiwezekana mwende hata kujifunza awape mbinu za mafanikio.
Huyu jamaa alijifunza kwa ALLI SALIM pale unyamani.Waende wakajifunze kwa Ronwen Williams baada ya ligi, sidhani kama atawanyima mbinu!
unajua bolu..mimi ata wanipe huyo diarra katika 5 nkikosa bahati mbaya ni 1..shule na mapenzi yameua sana vipaji vyetu wengine,kuna muda mchezaji anakosa goli au kutoa pasi hadi waga najiuliza walifikaje huko..Mimi penalty naamua napiga wapi Ile millisecond ya mwisho kabla mguu haujagusa Mpira. Na katika UN predictable pattern. L. Williams angekaa tu.