Pre GE2025 Kuhusu kupokea pesa za Abdul, Mbowe asema Lissu aache kuwapaka matope wenzake

Pre GE2025 Kuhusu kupokea pesa za Abdul, Mbowe asema Lissu aache kuwapaka matope wenzake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Mbowe akijibu swali kuhusu tuhuma za pesa za Abdul asema hazina ushahidi wowote na kwamba mwenye ushahidi anatakiwa kuupeleka kama alivyoambiwa.

Na kuongeza kuwa Lissu kufanya hivyo ni kuwachafulia watu wengine waliojenga reputation zao kwa muda mrefu. Mbowe amemuasa Lissu.

Pia soma: Pre GE2025 - Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura


Ajenge timu kwani hawezi kushinda peke yake, asikazane kuwapaka wengine matope na kuwachafua kwani suala hilo haipendezi.

Asema itakuwa amekengeuka sababu ya upepo huu wa uchaguzi na kwamba baada ya uchaguzi kuisha atarudi kwenye mstari.
 
TAKUKURU mnafanya kazi gani? Interrogate everyone involved.
That's if you have the guts to do so.
 
Mbowe akijibu swali kuhusu tuhuma za pesa za Abdul asema hazina ushahidi wowote na kwamba mwenye ushahidi anatakiwa kuupeleka kama alivyoambiwa.

Na kuongeza kuwa Lissu kufanya hivyo ni kuwachafulia watu wengine waliojenga reputation zao kwa muda mrefu. Mbowe amemuasa Lissu

Ajenge timu kwani hawezi kushinda peke yake, asikazane kuwapaka wengine matope na kuwachafua kwani suala hilo haipendezi.

Asema itakuwa amekengeuka sababu ya upepo huu wa uchaguzi na kwamba baada ya uchaguzi kuisha atarudi kwenye mstari.
Kwahiyo wote walilamba asali si Ndio?
 
Back
Top Bottom