Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa hapo unaposema kwa watukuja au WAZAWAM-pesa Vodacom wamesitisha kutoa till toka July,ila till za m-pesa unapoomba kwa WAZAWA unaipata ndani ya wiki moja Ila kwa watu kuja inawezachukua hata miezi 2.
Airtel Money nao hawatoi kwa sasa ila kwa WAZAWA unawezaipata ndani ya siku moja. Kwa watukuja inawezakuchukua hadi miezi 2.
Tigopesa till WAZAWA unaipata ndani ya siku 3 za kazi. Watukuja unaipata hata miezi 6 na pengine husiipate. Hivyo jiongeze.
Note: Ninazo line za M-pesa,Tigopesa,Airtel money na T-pesa za kwangu mwenyewe namtafuta mtu anayeweza kuzitumia tukawa tunalipana mwisho wa mwezi kwa makubaliano maalumu. Mtaji anaweka wa kwake. Ila awe Dar. Aliye interested anicheki PM tuyaweke sawa.
WAZAWA ni wale wanaopata upendeleo baada ya kutoa chochote. Watukuja ni wale wagumu wa kujiongeza kutoa chochote na hence kutegemea huduma in fast track.Sijakuelewa hapo unaposema kwa watukuja au WAZAWA
kweli boss lakini sisi tunafanya kazi iyoNenda kwenye mtandao husika utapata maelezo ya kutosha
Kama hajakuelewa shauri yake. Utapeli umeingia kila mahali siku hizi.KUWA MWANGALIFU,MAKAMPUNI HAYA YA SIMU YAMETOA KAZI YA KUSAMBAZA LAINI ZA UWAKALA KWA MAWAKALA WAO WAKUU.NA OFISI NYINGI ZA MAWAKALA WAKUU SIO WAAMINIFU.
UKIISHA PELEKA VILE VYOTE VINAVYOTAKIWA (LESENI, TIN, NIDA), UTAAMBIWA KUNA GHARAMA ZA MHURI WA MWANASHERIA TSHS 15000-MPAKA 20,000.
AMINI MAOMBI YAKO YATAPOLELEWA, ZILE NYARAKA. UTALIPISHWA HIYO PESA. NA NYARAKA HAZITAKWENDA POPOTE. HAPA UTAKUNA MTU KAOMBA HIZI LAINI TANGU MWAKA JANA JANUARY , NA HAKUNA KITU NA PESA ILE HAIRUDI.
HII YOTE NI KWA SABABU HAKUNA TAARIFA SAHIHI ZA UPATIKANAJI WA HIZI LAINI.
JARIBU KUPIGA HUDUMA KWA WATEJA KAMPUNI YOYOTE , ANGALIA KAMA UTAPATA JIBU.