Kuhusu lockdown Rais Magufuli yupo sahihi

Kuhusu lockdown Rais Magufuli yupo sahihi

Salamu wanaJF
katika strategies za kupambana na COVID 19 hakuna expert duniani.kila mmoja wetu ameweza kuwa na ushauri wake ambao ni valid kwa muktadha wa uelewa,taarifa,uzoefu,elimu n.k
Rais Magufuli alichagua NO LOCKDOWN ..!!
Baada ya msimamo huu hata mimi big fan wa Jembe Magufuli nilitetereka kidogo lakini kupitia tafiti zangu hatimaye nimeelewa somo vilivyo...na somo hili limeeleweka duniani kote yaani kwa wataalamu na wanasiasa.yaani lockdown sio suluhu ya kudumu kwenye tatizo linalodumu.
Kwa mujibu wa data tatizo la COVID 19 linaonekana ni tatizo sugu tutaishi nalo na sio tatizo la kupita kama ilivyokuwa kwenye matatizo yaliyowahi kuisumbua dunia hapo awali.
basing on these facts naungana na Mh Rais katika kuikataa lockdown.
Nini kifanyike kwa sasa.
1-Tuondoe hofu iliyojengwa
2-Tutengeneze vifaa kinga kwa watumishi na jamii kwa wingi
3-Tuzingatie Social and Physical distancing
4-Tuendelee kuzingatia unawaji mikono
5-Tuendelee kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
6-Tupime wahisiwa na kutoa majibu sahihi kwa wakati.
7-Vyombo vya ulinzi na usalama hasa polisi virejee katika routine zao za kazi(hakuna kuogopa) this is just like other War
8-wataalamu wa wizara husika waendelee kufanya analysis na kutoa muelekeo.hasa wataalamu wa epidemiolojia.
9-Watumishi wa afya warejee misingi ya viapo vyao,wapongezwe,wapewe motisha.
10-Tujiamini zaidi katika mbinu zetu kupitia mamlaka zetu kama TMDA,MSD,NIMR,Taasisi za Elimu n.k
11-Tuachane na unyanyapaa na Siasa za majitaka.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Naunga mkono hoja.Kama hatufanyi tena vipimo basi hakuna haja ya lock down.Wacha tupuputike kimya kimya.

Iwapo tungefanya lock down ingetubidi tupime watu.Na vipimo vingeonyesha ni lini tufungue tena nchi baada ya Lock down
 
Naunga mkono hoja.Kama hatufanyi tena vipimo basi hakuna haja ya lock down.Wacha tupuputike kimya kimya.

Iwapo tungefanya lock down ingetubidi tupime watu.Na vipimo vingeonyesha ni lini tufungue tena nchi baada ya Lock down
nani kasema hatufanyi vipimo?
 
Eti nini
IMG_20200507_230430_811.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu wanaJF
katika strategies za kupambana na COVID 19 hakuna expert duniani.kila mmoja wetu ameweza kuwa na ushauri wake ambao ni valid kwa muktadha wa uelewa,taarifa,uzoefu,elimu n.k
Rais Magufuli alichagua NO LOCKDOWN ..!!

Baada ya msimamo huu hata mimi big fan wa Jembe Magufuli nilitetereka kidogo lakini kupitia tafiti zangu hatimaye nimeelewa somo vilivyo...na somo hili limeeleweka duniani kote yaani kwa wataalamu na wanasiasa.yaani lockdown sio suluhu ya kudumu kwenye tatizo linalodumu.

Kwa mujibu wa data tatizo la COVID 19 linaonekana ni tatizo sugu tutaishi nalo na sio tatizo la kupita kama ilivyokuwa kwenye matatizo yaliyowahi kuisumbua dunia hapo awali.
basing on these facts naungana na Mh Rais katika kuikataa lockdown.

Nini kifanyike kwa sasa.
1-Tuondoe hofu iliyojengwa
2-Tutengeneze vifaa kinga kwa watumishi na jamii kwa wingi
3-Tuzingatie Social and Physical distancing
4-Tuendelee kuzingatia unawaji mikono
5-Tuendelee kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
6-Tupime wahisiwa na kutoa majibu sahihi kwa wakati.
7-Vyombo vya ulinzi na usalama hasa polisi virejee katika routine zao za kazi(hakuna kuogopa) this is just like other War
8-wataalamu wa wizara husika waendelee kufanya analysis na kutoa muelekeo.hasa wataalamu wa epidemiolojia.
9-Watumishi wa afya warejee misingi ya viapo vyao,wapongezwe,wapewe motisha.
10-Tujiamini zaidi katika mbinu zetu kupitia mamlaka zetu kama TMDA,MSD,NIMR,Taasisi za Elimu n.k
11-Tuachane na unyanyapaa na Siasa za majitaka.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

kabla ya kuamua kuishi na hili tatizo kwa kuwa corona inauwa na wala haina utani kwenye hili serikali ilipaswa kuuwezesha mifumo ya afya sasa hivi hospitali zitaenda kujaa wagonjwa na wahudumu wa Afya wanazidiwa nini sasa kinakwenda kutokea ni “ mfumo wa afya unaenda ku collapse No vitendea kazi hospitalini wala wahudumu maana ata wao tunawaweka kwenye risk...tutawapoteza

Nini kilitakiwa kufanyika jibu ni moja “ lock down either iwe total lockdown au half lockdown tatizo watanzania wengi ni watu wa kufata mkumbo ukimuuliza why lockdown atakwambia ili kuondoa au kumaliza corona[emoji134]‍♂️ kifupi ni kwamba lockdown haiondoi corona bali inapunguza kasi ya maambukizi kitu ambacho Tz tumefeli

Unapopunguza kasi ya maambukizi means utailinda mifumo ya afya na ukitaka uamini hili subiri uugue sasa hivi uone mabadiliko ya sekta ya afya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
nani kasema hatufanyi vipimo?

Tanzania inapima wenye dalili tu that why visa ni vichache I’m sure mkianzisha upimaji serious mtapata case si chini ya elfu 5


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Rais yuko sawa kwa sababu labda yuko bega kwa bega na mabeberu kuhakikisha wananchi wa Tanzania wanakufa as many as all if it is supposed to be.

Tutakwisha kabisa, kama tutaendelea kumsikiliza huyu NYUMBU.
 
Tanzania inapima wenye dalili tu that why visa ni vichache I’m sure mkianzisha upimaji serious mtapata case si chini ya elfu 5


Sent from my iPhone using JamiiForums
Halafu ukishapata watu 5000 what next
 
kabla ya kuamua kuishi na hili tatizo kwa kuwa corona inauwa na wala haina utani kwenye hili serikali ilipaswa kuuwezesha mifumo ya afya sasa hivi hospitali zitaenda kujaa wagonjwa na wahudumu wa Afya wanazidiwa nini sasa kinakwenda kutokea ni “ mfumo wa afya unaenda ku collapse No vitendea kazi hospitalini wala wahudumu maana ata wao tunawaweka kwenye risk...tutawapoteza

Nini kilitakiwa kufanyika jibu ni moja “ lock down either iwe total lockdown au half lockdown tatizo watanzania wengi ni watu wa kufata mkumbo ukimuuliza why lockdown atakwambia ili kuondoa au kumaliza corona[emoji134]‍♂ kifupi ni kwamba lockdown haiondoi corona bali inapunguza kasi ya maambukizi kitu ambacho Tz tumefeli

Unapopunguza kasi ya maambukizi means utailinda mifumo ya afya na ukitaka uamini hili subiri uugue sasa hivi uone mabadiliko ya sekta ya afya


Sent from my iPhone using JamiiForums
Lockdown imepunguzaje maambukizi uingereza?
 
Mabeberu na vibaraka wao wenye mpango wa kutumia COVID 19 kumuharibia Mzee baba Jembe Magifuli wasahau kwa sababu tutakula nao sahani moja...COVID 19 ni kionjo tu kwenye mboga.
JPM is there to stay mpka nchi ikae sawa.

Mwaka wa tano huu hamna viwanda,mmebaki kuongea maneno ya karne iliyopita sijui upuuzi wa ubeberu na ujinga usio na maana yoyote.
 
Mwaka wa tano huu hamna viwanda,mmebaki kuongea maneno ya karne iliyopita sijui upuuzi wa ubeberu na ujinga usio na maana yoyote.
Sasa hivi Sanitizers hatuagizi nje
 
Mwaka wa tano huu hamna viwanda,mmebaki kuongea maneno ya karne iliyopita sijui upuuzi wa ubeberu na ujinga usio na maana yoyote.
data zinajieleza
 
Back
Top Bottom