Kuhusu Luteni feki wa JWTZ: Jeshi liboreshe alama zake zinazoweza kufojiwa kirahisi

Kuhusu Luteni feki wa JWTZ: Jeshi liboreshe alama zake zinazoweza kufojiwa kirahisi

Duuh kwahyo kipengele cha umri kinaweza kukutoa mchezoni hata kama upo na MTU mkubwa mfano kanali? maana kuanzia kanali hua wanapewa nafas za kupeleka watoto wao
Dhu mkuu uliisikia wapi hii kuwa officers kuanzia Colonel kwenda juu wanapewa mgao wa kuwa peleka watoto wao jeshini?Hakuna kitu kama hicho kisheria. Kwanza tuna tuna ma- Colonel, ma- Brigadier General,, Ma- Major General wangapi? Ni mamia ya watu kama si maelfu kadhaa.
 
Dhu mkuu uliisikia wapi hii kuwa officers kuanzia Colonel kwenda juu wanapewa mgao wa kuwa peleka watoto wao jeshini?Hakuna kitu kama hicho kisheria. Kwanza tuna tuna ma- Colonel, ma- Brigadier General,, Ma- Major General wangapi? Ni mamia ya watu kama si maelfu kadhaa.
Kwahyo unataka kusema hua hawapewi nafas za kupeleka watoto wao?? Rwebo
 
Mkuu nafas wanapewa, fanya tafiti zako vzr utapata majibu
Ndiyo. Hakuna kitu kama hicho mkuu. Kisheria hakuna 'mgao' kama huo jeshini. Kama ingekuwa hivyo tungekuwa na jeshi kama DRC.
 
Unaponda JWZT unasifia Usalama wewe una mahaba na Usalama kwa taatifa yako ni vigumu sana kua mwanajeshi feki ila usalama wako kibao tu ambao ni fake
 
Ushahid tena mkuu!
Mm labda niseme ushahid sina, ila nachoweza sema embu jaribu kupitia name tag/badge za baadhi ya askar kweny majeshi
Mfano: uhamiaji utakutana sna na Haule, sanga n.k
 
Back
Top Bottom