Kuhusu mabadiliko kwa facult husiyo itaka

Kuhusu mabadiliko kwa facult husiyo itaka

Candaseba

Member
Joined
Aug 17, 2012
Posts
5
Reaction score
0
Wanajamvi kuna jamaa yangu m1 kachaguliwa compyuta sayanc na alisoma hgk jamaan kwel st josef wanachukua so anawez kubadilisha?
 
Huyo lazima aokote Disco semester ya kwanza tu
 
Mmn! hy kali toka nduki fasta hizo angle sizo kama ulishawahi kuiona advance phy and mathematics tia mguu chuo.
 
Acheni kupotoshwa mbona wengne wamesoma hkl na wanasoma hyo computer science na wanakimbiza
 
Jamani naomba ushauri mbona mwanitisha hivyo mnaniua kisaikolojia mnajua nielezen cha kufanya niache mwaka au alaf non priorit
 
kijana hold on..... kwa st joseph wanapokea hata watu wa arts hasa hiki chuo cha it...kama kwel uko na passion kwel just go for it... naiman utakua bora hata zaid ya hao waliosoma maths au pyhsics..
USIOGOPE!!
 
Dah same case mm wamenitupa IFM social protection dah afu mass hamna kitu kichwani wadau inakuaje apo
 
Hahahaha hi ndo bongo bhana hgk na computer science wap na wap
mkuu hapo umechemsha...nyie ndo mliokremisha kwamba engineer lazima asome pcm akat pgm na pcb wanaweza kuwa ma engineer pia,au kusoma akaunt lazima usome egm!!..mambo hayako ivo mkuu embu amka...kama unabisha nenda st joseph pale uone mambo yalivyo!!!
 
TATIZO MNAONGEA HAMUELEWI. kwa computer sayansi anaweza akamudu mana computer science is not all about maths. lakini kama engineering, ondoka toka, utoke kabisa huko. pia ujue utakuwa na 5% to survive kudisco. kama hesabu hujui , mambo yatakuwa magumu, utajutaaa kuifahamu science
 
kwenda uko. mwache mwenzako akasome. oy kasome ukikazana unauwa usisikilize ya watu kwani computar nini? kasome.
 
Back
Top Bottom