Driver proffesional
JF-Expert Member
- Feb 18, 2022
- 372
- 1,042
Alaf kwa lesen ya gar ni kila baada ya miaka mitatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyuo vyote vilivyo sajiliwa kufundisha/kuzalisha maderea Tz vinatoa cheti cha daraja B.Mkuu umenena sawa ila je kuna chuo chochote tanzania kinatoa cheti cha leseni daraja B naomba muongozo
Mwaka wa 3 ndi unaoruhusiwa kubadili, yaani baada ya miaka 2 kupita, ule wa 3 unarudusiwa kupanda.Alaf kwa lesen ya gar ni kila baada ya miaka mitatu
Tofauti kati ya D na B ni ipi?Chief karibu kwenye tasnia hii ya udereva
Madaraja ya leseni na maelezo kama ifuatavyo:
Daraja A,A1,A2 NA A3 NI kwa ajili ya pikipiki.
Daraja B NI MAGARI MADOGO YOTE AMBAYO HAYAJASAJILIWA KIBIASHARA YANI HAYANA PLATENAMBA NYEUPE.
DARAJA D NI MAGARI MADOGO NA MPAKA MWISHO YENYE UKUBWA WA TANI TATU NUSU MFANO CANTER PLATE NAMBA ZISIWE NYEUPE
DARAJA C1,C2,C3 HIZI NI KWA AJILI YA KUBEBA ABIRIA MFANO C1 NI COSTA NA EACHER ZINAZO BEBA ABIRIA PLATE NAMBA ZAKE NI NYEUPE
DARAJA C NI MABASI YA MKOA AU GARI INAYO BEBA ABIRIA KUANZIA 30 NA KUENDELEA
DARAJA E MAGARI MAKUBWA YA MIZIGO KUANZI TANI TATU NA NUSU MPAKA NAKUENDELEA
UTANISAMEHE KWA MUANDIKO MBOVU MANA NATUMIA KITOCHI SO EDITING NYINGI NAONA UVIVU
THANKS
Kama ulisha hakikiwa na barua ya RTO kutoka Polisi unayo, cheti hawana shida nacho, ila kama hauna barua cheti kinahitajika.Naomba tukumbushane kitu, hivi utaratibu wa ku renew leseni ukoje sasa bado wana ule ujinga kwa kudai vyeti?
Kiufupi. B, ni gari za nyubani, jamii ya hatbag na saloon car, yaani baby waker (namba za njano)Tofauti kati ya D na B ni ipi?
Mkuu tofauti ni hiiTofauti kati ya D na B ni ipi?
Kama ulisha hakikiwa na barua ya RTO kutoka Polisi unayo, cheti hawana shida nacho, ila kama hauna barua cheti kinahitajika.
Kama una madaraja B,D hawana shida na cheti chako, na kama una madaraja ya abiria, mizigo na mitambo, halafu hayapo ktk cheti chako, wanachokifanya ni kukuondolea hayo madaraja na kukuachia madaraja yako yanayoonekana ktk chei chako tu.
Uhakiki unaendelea, ila pia baadhi zimesha fungiwa, ila bado hazijafutwa. Nenda ka hakiki kwa RTO wako au wa karibuHivi ule uhakiki bado unaendelea tu?
Maaana licence yangu na daraja AB,C2,D,E
Na sijawahi kupeleka cheti toka watangaze
Uhakiki unaendelea, ila pia baadhi zimesha fungiwa, ila bado hazijafutwa. Nenda ka hakiki kwa RTO wako au wa karibu
TIN no. tu na cheti chako cha udereva ila kama ni Madaraja A,B, & D hayasumbui sana hata bila cheti ila zaidi ya hayo kwa Sasa Cheti kinatakiwa.Ili nipate leseni inabidi niwe na vitambulisho Gani wajuzi
Boss TIN NO ina taarifa zako zote hivyo hawahitaji wanavipata kupitia hiyo TIN NO.cheti chakuzaliwa vipi?namba ya nidaje?
Asante mkuu.nilikuwa nampango wakwenda veta kujifunza ilinichukue leseni mana udereva naujua nimejifunza mtaani lakini leseni ndio SinaBoss hata TIN no. Huifahamu kweli,
Iko hivi vinavyohitajika.
1.TIN NO.(Nenda TRA iliyo karibu nawe watakupa buree)au hata wewe mwenyewe unaweza itengeneza online kupitia website ya TRA na bila hii hupati leseni maana ndiyo namba inayotumika kwa mlipa kodi.
2.CHETI CHA UDEREVA KUTOKA CHUO
Na sio kitu kingine.
Cheti cha kuzaliwa nenda RITA pale POSTA ni rahisi kama umezaliwa mkoani kukipa kuliko aliyezaliwa DAR.Asante mkuu.nilikuwa nampango wakwenda veta kujifunza ilinichukue leseni mana udereva naujua nimejifunza mtaani lakini leseni ndio Sina
nilikuwa nahisi cheti chakuzaliwa kinahitajika namimi Sina na plosesi yakukifatilia ningumu mana mkoa niliozaliwa nimbali na dar
Ndio.Sina certificate mkuu
Wakihakiki kuna document unapewa?
Ambayo utakuwa unaonesha trafick
Cheti cha kuzaliwa hakihusiki.cheti chakuzaliwa vipi?namba ya nidaje?
Mkuu umemwaga madini yote [emoji120]Ndio.
Unapewa baru ya RTO inayothibitisha kukaguliwa.
Pia unaweza kuwa na cheti cha chuo ambacho hakija sajiliwa kutoa daraja husika, ikala kwako.
Kua na cheti kabla ya leseni ni uhuni na sio utaratibu, unapokua na lena maanayake unaomba leseni, kisheria Polisi/ Vehicle Inspector ndie aliepewa mamlaka ya wewe kukupa daraja unaloomba au kukupa la chini yake au asikupe kabisa kwa mujibu wa drivig yako, baada ya V/INSP kukuthibitishia daraja linalokufaa hio ndio leseni ya udereva, hapo utarudi chuo ulichosoma ili wakutengenezee cheti kwa mujibu wa leseni yako/daraja lako, na itamaliza muda wake baada ya miezi 2 7bu hujalipia kodi leseni hiyo, ndio hapo sasa utaenda kulipia kodi ya leseni ya udereva ya miaka mi 5 ya Tsh- 70,000/= TRA na watakupa kadi inayoonyesha daraja alilokupa Polisi/V.INSP na muwa wa ku expire wa miaka mi 5.
TRA hutoa leseni ila siyo ya udereva.
Wengi hatuna elimu kuhusu upatikanaji sahihi wa leseni za udereva na kuamini TRA ndio wanatoa leseni za udereva, TRA wanakusanya kodi tu ya dereva husika. Ndio maana uhakiki unafanyika Polisi ndio wenye mamlaha na leseni za udereva.
Kupata cheti chuoni bila kua na leseni na ukaenda TRA ukalipa na kupewa kadi, ni nani aliekuthibitisha wewe kua dereva? Siku ukipata ajali na ukakutana na wajuaji mahakamani wakidai uthibitisho wa wewe kua dereva ndio utafurahi, baada ya kukosa sirio namba ya PF ya polisi. Unagongwa na kosa la kughushi/kufoji nyaraka za serekali.
NB. Nenda Veta ua NIT utapata leseni kiurahisi na isio na mashaka maana NIT pale walimu wengi ni ma Polisi/V.INSPECTOR wenyewe, hivyo wanakuthibitisha wenyewe na kila kitu kinaishia pale.
VETA pia wanao ma V.INSP wao.