Kuhusu maombi ya sanctions for Nigeria

Kuhusu maombi ya sanctions for Nigeria

Kwa kuangalia post #5 (thanks to Sky Eclat ) vikwazo vinapangwa kuwa kwa viongozi.

Inaonekana wananchi wanataka vikwazo vijikite kwa viongozi.

Wapigwe ban personally, kwa mfano, kama ile aliyopigwa Bashite kwenda Marekani.

Kama ni hivyo, vikwazo hivyo haviwahusu wananchi.
Kweli mkuu, kama ni hivyo basi ni kheri
 
Back
Top Bottom