KUHUSU MASHINE YA CT SCAN MLOGANZILA

A

Anonymous

Guest
Nawapongeza JF kwa kupaza sauti kuhusiana na ubovu wa mashine ya CT SCAN kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila.

Naona sasa Huduma za CT Scan zimerejea kama kawaida na zinapatikana saa 24 Jumatatu hadi Jumapili..

Tunaomba muendelee kupaza sauti kuhusu Uchakavu wa Gari la kubebea wagonjwa

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…