CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Wakuu nilikuwa na mpango wa Kuagiza mashine kutoka China na nisha pata hadi Proformal Invoice, Ila baada ya kuwasiliana na Ma agent walinipigia ghalama za kufa mtu ikiwemo kodi, Ikabidi nifuatilie TRA makao mamkuu, na wlicho nijibu ni kwamba hazilipiwi Kodi, so kumbe ni usanii wa Ma agent kutaka cha juu, so kuweni makini sana na ma agent wa Bongo wizi mwingi sana[/
QUOTE]
sina uhakika na hili kwani agent anatoa quotation kuonyesha provision estimates tu.Na mzigo ukitumwa utapewa documents ambazo utampa agent wako ndo ataenda TRA,TPA,TBS, na sehemu nyingine akiwa na hizo docs zako na cost halisi zitatokana na hizo docs. Malipo hayo waweza fanya mwenyewe ila agent baada ya process ukamlipa agent fee peke yake.
Wakuu nilikuwa na mpango wa Kuagiza mashine kutoka China na nisha pata hadi Proformal Invoice, Ila baada ya kuwasiliana na Ma agent walinipigia ghalama za kufa mtu ikiwemo kodi, Ikabidi nifuatilie TRA makao mamkuu, na wlicho nijibu ni kwamba hazilipiwi Kodi, so kumbe ni usanii wa Ma agent kutaka cha juu, so kuweni makini sana na ma agent wa Bongo wizi mwingi sana[/
QUOTE]
sina uhakika na hili kwani agent anatoa quotation kuonyesha provision estimates tu.Na mzigo ukitumwa utapewa documents ambazo utampa agent wako ndo ataenda TRA,TPA,TBS, na sehemu nyingine akiwa na hizo docs zako na cost halisi zitatokana na hizo docs. Malipo hayo waweza fanya mwenyewe ila agent baada ya process ukamlipa agent fee peke yake.
kwa nini kila Agent anakuja na ghalama tofauti ukiachilia mbali zile fees zao?
kwa nini kila Agent anakuja na ghalama tofauti ukiachilia mbali zile fees zao?
Lazima ujue kuwa hizo ni cost estimates haziwezi kuwa sawa.
Pia watu wanachukua Hs code ya mzigo kisha wanafanya cost estimates tu.
gharama na estimates zinatofautiana kulingana na aina ya wakala mfano.
ukiwa na mzigo ambao haujai container lazima uwekwe pamoja na mizigo mingine ili ijaze container moja hivyo doc ya mzigo wako atapewa yule mwenye mzigo mkubwa na wewe unatakiwa ulipie consolidation fee ili upewe doc zako toka kwa consolidator.kila consolidator ana gharama zake kuanzia usd100 -usd 200 so hapo agent anaweza aka estimate tu na wakatofautiana na mwingine.
Agent mwingine anaweza weka documentation charges tofauti na mwingine kwani hayo ni makadirio tuu,docs zako zaweza kuwa na kasoro zikahitaji Alteration haifanywi bure unalipia.
Yapo mengi tu yanayoleta tofauti.
Lazima ujue kuwa hizo ni cost estimates haziwezi kuwa sawa.
Pia watu wanachukua Hs code ya mzigo kisha wanafanya cost estimates tu.
gharama na estimates zinatofautiana kulingana na aina ya wakala mfano.
ukiwa na mzigo ambao haujai container lazima uwekwe pamoja na mizigo mingine ili ijaze container moja hivyo doc ya mzigo wako atapewa yule mwenye mzigo mkubwa na wewe unatakiwa ulipie consolidation fee ili upewe doc zako toka kwa consolidator.kila consolidator ana gharama zake kuanzia usd100 -usd 200 so hapo agent anaweza aka estimate tu na wakatofautiana na mwingine.
Agent mwingine anaweza weka documentation charges tofauti na mwingine kwani hayo ni makadirio tuu,docs zako zaweza kuwa na kasoro zikahitaji Alteration haifanywi bure unalipia.
Yapo mengi tu yanayoleta tofauti.
Mkuu kumbuka mimi nilitaka ghalama za kutoa Bandarini na si kutuma, Kutuma wale walikuwa wanamaliza kila kitu,
Lazima ujue kuwa hizo ni cost estimates haziwezi kuwa sawa.
Pia watu wanachukua Hs code ya mzigo kisha wanafanya cost estimates tu.
gharama na estimates zinatofautiana kulingana na aina ya wakala mfano.
ukiwa na mzigo ambao haujai container lazima uwekwe pamoja na mizigo mingine ili ijaze container moja hivyo doc ya mzigo wako atapewa yule mwenye mzigo mkubwa na wewe unatakiwa ulipie consolidation fee ili upewe doc zako toka kwa consolidator.kila consolidator ana gharama zake kuanzia usd100 -usd 200 so hapo agent anaweza aka estimate tu na wakatofautiana na mwingine.
Agent mwingine anaweza weka documentation charges tofauti na mwingine kwani hayo ni makadirio tuu,docs zako zaweza kuwa na kasoro zikahitaji Alteration haifanywi bure unalipia.
Yapo mengi tu yanayoleta tofauti.
Pamoja na yote mkuu hizo gharama haziwezi kufikia mara tatu ya gharama ya hiyo mashine,pia hiyo alteration fee ni USD 5 tu mkuu,isitoshe maajenti wengi wanaodaka kazi hawaijui common external tariff kabisa,pia ni matapeli.Wenyewe wakiulizwa kodi wanataja gharama za juu kwa kuwa wanajua wateja wengi hawajui kusoma customs doc.(Tansad).Pia wanaofanya hivyo wengi hawajasomea clearing and forwarding.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Pamoja na yote mkuu hizo gharama haziwezi kufikia mara tatu ya gharama ya hiyo mashine,pia hiyo alteration fee ni USD 5 tu mkuu,isitoshe maajenti wengi wanaodaka kazi hawaijui common external tariff kabisa,pia ni matapeli.Wenyewe wakiulizwa kodi wanataja gharama za juu kwa kuwa wanajua wateja wengi hawajui kusoma customs doc.(Tansad).Pia wanaofanya hivyo wengi hawajasomea clearing and forwarding.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
gharama haziwezi kufikia mara 3 ya CIF na wala haitatokea labda ushindwe kuutoa wakucharge storage.
Pamoja na yote mkuu hizo gharama haziwezi kufikia mara tatu ya gharama ya hiyo mashine,pia hiyo alteration fee ni USD 5 tu mkuu,isitoshe maajenti wengi wanaodaka kazi hawaijui common external tariff kabisa,pia ni matapeli.Wenyewe wakiulizwa kodi wanataja gharama za juu kwa kuwa wanajua wateja wengi hawajui kusoma customs doc.(Tansad).Pia wanaofanya hivyo wengi hawajasomea clearing and forwarding.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mkuu,
Kumbuka vyuo hivyo vipo mda mrefu na vinatoa wahitimu kila mwaka na hizi kazi zipo mda mrefu na watu wanafanya kazi hiyo.Siamini kuwa wengi hawajui kazi hizi kwani kupata tu leseni hiyo lazima uwe na sifa za kutosha.
pia kodi unalipa mamlaka husika wewe utampa agent kodi ya serikali!mwambia akuletee doc ya TRA kalipe mwenyewe kama unawapa pesa wakulipie basi kutapeliwa tunataka wenyewe.
kwa uelewa wangu ni kuwa machine zote zinazoagizwa kwa ajili ya kilimo hazilipiwi kodi hpa nchini madhalani trecta hazilipiwi na hivyo hivyo nahisi pia hizo machine za kutotolea nazo hazilipiwiWakuu nilikuwa na mpango wa Kuagiza mashine kutoka China na nisha pata hadi Proformal Invoice, Ila baada ya kuwasiliana na Ma agent walinipigia ghalama za kufa mtu ikiwemo kodi, Ikabidi nifuatilie TRA makao mamkuu, na wlicho nijibu ni kwamba hazilipiwi Kodi, so kumbe ni usanii wa Ma agent kutaka cha juu, so kuweni makini sana na ma agent wa Bongo wizi mwingi sana
mkuu ulifanikiwa kuileta, je ulilipa kodi kiasi gani?Wakuu nilikuwa na mpango wa Kuagiza mashine kutoka China na nisha pata hadi Proformal Invoice, Ila baada ya kuwasiliana na Ma agent walinipigia ghalama za kufa mtu ikiwemo kodi, Ikabidi nifuatilie TRA makao mamkuu, na wlicho nijibu ni kwamba hazilipiwi Kodi, so kumbe ni usanii wa Ma agent kutaka cha juu, so kuweni makini sana na ma agent wa Bongo wizi mwingi sana
Du MKUU hii hoja ni ya 2013 leo 2018 sijui kama hakuna kodi maana ile ilikuwa sera ya mkwele ngoja walete majibumkuu ulifanikiwa kuileta, je ulilipa kodi kiasi gani?
VAT hakuna ila import Duties inakuwepoDu MKUU hii hoja ni ya 2013 leo 2018 sijui kama hakuna kodi maana ile ilikuwa sera ya mkwele ngoja walete majibu
Poa mkuu, NashukuruVAT hakuna ila import Duties inakuwepo