Habari zenu wadau, nilikua nauliza km kuna mtu humu ndani anafahamu upatikanaji wa machine za kusaga na kukobolea nafaka, tafadhali naomba anijuze..
Alafu Kama wewe ni [Mbongo]
Mtanzania na unapenda kilicho cha
nyumbani kwako na ili tuweze
kikuza na kuendeleza
kilicho chetu tafadhali, like facebook page yetu, na follow katika twitter.. kwa kubofya anuani hizi hapa..