Jamani mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 hivi karibuni nimekumbwa na tatizo la kutokwa na michubuko sehemu ya juu ya uume hasa mule ambamo nilishonwa baada ya kutahiliwa .
Hata nikivaa kondom bado hiyo hali inatokea, mwenye utaalam na hili tatizo anisaidie wadau.
Nimetahiliwa miaka 14 ilopita.
Hata nikivaa kondom bado hiyo hali inatokea, mwenye utaalam na hili tatizo anisaidie wadau.
Nimetahiliwa miaka 14 ilopita.