Kuhusu Mswaki na Bacteria

Kuhusu Mswaki na Bacteria

Mshuza2

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
11,261
Reaction score
17,202
Heshima kwenu..
Wadau ningependa kujua je kuna uwezekano wa mswaki kubaki na vimelea vya ugonjwa baada ya mgonjwa kupona? Namaanisha kwamba mgonjwa anaweza kupata vimelea vya ugonjwa vilivyobaki kwenye mswaki anaoutumia baada ya mgonjwa kupona..
 
Back
Top Bottom