Huyu mtoto wa zinaa wana matatizo ya kichwa.Maalim kahtaan umemaliza kila kitu,sidhani kama wagalatia watatia pua zao.
nimeisoma ila si kila liloandikwa ni la kukubaliana nalo..Nnatumai umeisoma post namba 8 na kujionea huo udhalilishaji unatokea kwenye Biblia.
Mtani usiingizwe chaka na wanaharamu Bible iko sahihi kabisa tatizo ni wapuuzi wachache wanaosoma mstari mmoja na kuubeba kama ulivyonimeisoma ila si kila liloandikwa ni la kukubaliana nalo..
Huyu mtoto wa zinaa wana matatizo ya kichwa.
Andiko lake limetaja WATOTO WA HARAMU sehemu chungu mzima halafu anakuja pakazia Waislamu.
Pambafu, bado unaedelea kuwadhalilisha?
Tena sio kutaja tu bali BIBLIA IMEWALAANI VIKALI WATOTO wadogo wasio na Hatia na kuwapiga marufuku hata Kuingia MAKANISANI.
Wagalatia Mtihani sana.
hilo ndiyo tatizo mtaniMtani usiingizwe chaka na wanaharamu Bible iko sahihi kabisa tatizo ni wapuuzi wachache wanaosoma mstari mmoja na kuubeba kama ulivyo
Mbona unatokwa na povu jingi? Haya maneno kila kukicha mnayatunia mitaani.
Hata wewe unatabia ya kutumia haya maneno (Mtoto wa Zinaa) kumaanisha kuwa ni mtu asiyefaa.
Halafu thread imeshaingiliwaExactly.
Leta ANDIKO linalosema hayo ktk Uislamu.Maneno meeeengi, Uislamu unamdhalilisha sana mtoto wa nje ya ndoa, Mtoto wa Zinaa/Haramu.
Maalim,mimi huwa najiuliza kwani kuwa mgalatia sharti uwe mnafiki na muongo?.Huyu mtoto wa zinaa wana matatizo ya kichwa.
Andiko lake limetaja WATOTO WA HARAMU sehemu chungu mzima halafu anakuja pakazia Waislamu.
Tena sio kutaja tu bali BIBLIA IMEWALAANI VIKALI WATOTO wadogo wasio na Hatia na kuwapiga marufuku hata Kuingia MAKANISANI.
Wagalatia Mtihani sana.
Mnaanza kuitana watani!Mtani usiingizwe chaka na wanaharamu Bible iko sahihi kabisa tatizo ni wapuuzi wachache wanaosoma mstari mmoja na kuubeba kama ulivyo
Mlango 23Kabla ya kuhoji uhusika wa ALLAH,kwenye suala la mtoto wa haramu unatakiwa utoe aya au hadithi inayowataka waislamu wawaite watoto wa nje ya ndoa watoto wa haramu.
Unalizungumziaje andiko la 23:2 kumbukumbu la torati?