Maneno meeeengi, Uislamu unamdhalilisha sana mtoto wa nje ya ndoa, Mtoto wa Zinaa/Haramu.
Leta ANDIKO linalosema hayo ktk Uislamu.
Mimi nakuongeza ANDIKO kutoka krk BIBLIA linalo LAANI WATOTO WADOGO wasio na Hatia na kuwabagua, kisa mama magdalena kacheza faulo na Mchungaji kwenye misa za Jioni.
Je!una habari WANA WA HARAMU pia walishawahi kutawala Ktk ANDIKO LAKO?
ZEKARIA 9:6
Na mwana wa haramu atatawala huko Ashdodi,
Imani yako IMETAJA WANA HARAMU WASIO NA IDADI kwenye BIBLIA.
sasa na wewe leta ANDIKO ktk Quraan Waislamu Wapi wameita MTOTO YYT kuwa ni wa HARAMU!!
UISLAMU sio Imani za kumbumba Kijana.
Ni DINI ILIOKAMILIKA isio na Udhalilishaji wala KASHFA ndani yake.
Hebu Ongezea na HII hapa Uone imani yako inasema nini pia kuhusu kina mama.
1 Wakorintho 6:16
"JE! Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja. "
Yaani BIBLIA inawata kina mama wote ni MAKAHABA!
Na mlaaniwe wote mnaodhalilisha Kina Mama na watoto wao.