Kuhusu mtoto haramu

Kuhusu mtoto haramu

Status
Not open for further replies.
Wapi UISLAMU umemuita mtoto wa ZINAA kuwa ni Mtoto wa HARAMU?

Wagalatia km kawaida yenu mnaropoka bila kufikiri.

Na unapouliza Swali jaribu kushirikisha Kichwa japo siku moja.
Toka lini chanzo cha Kuzaliwa kwa mtoto kikahusishwa na Imani yake?

Kwaya na ulaji wa kiti moto vinawadhuru nyie.

Kitabu kilichotaja MTOTO WA HARAMU ni BIBLIA ambacho Kimepiga Marufuku Watoto hawa HATA Kuingia KANISANI (makutano ya Bwana) yeye na KIZAZI CHAKE CHA 10!!

Kumbukumbu la TORATI 23:1-2

1Aliyejeruhika konde, au aliyekatika tupu yake, asiingie mtu huyo katika mkutano wa Bwana.
2 MWANA WA HARAMU asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana.

NA ktK UISLAMU kauli ya KUDHALILISHA Watoto wa nje ya ndoa Na KUWABAGUWA namna Hii HAKUNA hatta sehemu Moja.

MNashindwa Kuangalia Uchafu Uliomo Kwenu Mnakuja uliza Maswali ya kipuuzi hapa.

Makatonta watu wa ajabu sana.

Umemjibu vizuri huyo mgaratia,,,,
 
Wee endelea na imani zako za kuletwa na meli za waarabu na wazungu.
Nimependa comment yako lakini mkuu nikiangalia avatar yako namuona yule mnazareti [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Wewe Baba umejawa na udini sijapata ona nafikiri hua unatamani binadamu wote wangekua waislamu ila ndo hivyo sipendi neno kafiri nafikiri we ndo kafiri.
Huu ndo unafiki na uongo ninaouzungumzia mimi, mlio nao nyinyi wagalatia.

Kati ya kahtaan aliyefichua uongo wa mtoa mada ya kwamba, uislamu unaita watoto wa nje ya ndoa haramu bila kuweka ushahidi na mtoa mtoa mada nani ni mdini?.

Acha unafiki dada si kitu chema kuwa mkweli ndio maana kahtaani anawaita makafiri.
 
Hii Waebrania 12:1-2 unaisoma katika mukhutaza hupi, hakuna sehemu yoyote andiko linawataja watoto wa nje ya ndoa.
Pia andiko alimaanishi watoto kimwili,bali ni watoto kiroho.

Hahaha watoto wa haramu kiroho? Wewe huna roho?

Mnayakana maandiko yenu. Poleni sana.
 
Kwahiyo (ALLAH) hahusiki kwenye uumbwaji wake tumboni mwa *****? [emoji101]

Naona unaleta dhiaka,kwaiyo km hausiki katika umbaji,nani kamuumba,,,,mtoto kawaida hana makosa,makosa mnayo wazazi mliodhini akapatikana Huyo mtoto, na ndoa inayotambulika na mungu ni ndoa ya kiislam tu,maana ndo dini ya ulimwengu,,kwaiyo waliozaliwa nje ya ndoa ambayo sio ya kiislam wote ni mtihani kwakweli,,,
 
Nyie ndio wale mnaoabudu miti mikubwa na milima mkiizunga Uchi sio?
Ahsanta Kuffar.
Yaa, hata na babu ya babu yako alikuwa anaabudu hivi kabla hawajaja hawa washenzi kutoka ulaya na uarabuni. Na bado hao mababu zako walikuwa waungwana tu bila hizi imani za kuletwa.
 
Wapi UISLAMU umemuita mtoto wa ZINAA kuwa ni Mtoto wa HARAMU?

Wagalatia km kawaida yenu mnaropoka bila kufikiri.

Na unapouliza Swali jaribu kushirikisha Kichwa japo siku moja.
Toka lini chanzo cha Kuzaliwa kwa mtoto kikahusishwa na Imani yake?

Kwaya na ulaji wa kiti moto vinawadhuru nyie.

Kitabu kilichotaja MTOTO WA HARAMU ni BIBLIA ambacho Kimepiga Marufuku Watoto hawa HATA Kuingia KANISANI (makutano ya Bwana) yeye na KIZAZI CHAKE CHA 10!!

Kumbukumbu la TORATI 23:1-2

1Aliyejeruhika konde, au aliyekatika tupu yake, asiingie mtu huyo katika mkutano wa Bwana.
2 MWANA WA HARAMU asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana.

NA ktK UISLAMU kauli ya KUDHALILISHA Watoto wa nje ya ndoa Na KUWABAGUWA namna Hii HAKUNA hatta sehemu Moja.

MNashindwa Kuangalia Uchafu Uliomo Kwenu Mnakuja uliza Maswali ya kipuuzi hapa.

Makatonta watu wa ajabu sana.
Shekhe wagalatia wenyewe hawaijui dini yao..kwanza biblia wanasomewa ndomana wanakurupuka...pili ukweli hawautaki..zinaa kwao ni halali
 
Huu ndo unafiki na uongo ninaouzungumzia mimi, mlio nao nyinyi wagalatia.

Kati ya kahtaan aliyefichua uongo wa mtoa mada ya kwamba, uislamu unaita watoto wa nje ya ndoa haramu bila kuweka ushahidi na mtoa mtoa mada nani ni mdini?.

Acha unafiki dada si kitu chema kuwa mkweli ndio maana kahtaani anawaita makafiri.
Hata wewe mmisri ni mnafiki tu hebu tuwe wakweli kiuhalisia mtaani ni kina nani huita watoto haramu kama sio ninyi wamisri? Hao wagalatia sijawahi sikia wakiita watoto wao haramu hata siku moja ni ninyi makafiri hufanya hivyo.
 
Mgalatia alieanzisha Uzi katoka Baruti.

Teh teh teh teh.

Aliyewaita KONDOO kagonga Pentagon. Yaani Jina na Tabia Yenu Mia fil mia.

Ahsanta
 
Mlango 23

1 Aliyejeruhika konde, au aliyekatika tupu yake, asiingie mtu huyo katika mkutano wa BWANA.
2 Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa BWANA; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa BWANA.

Lakini mkuu agano la kale si lipo na kwenye quran pia?
Wapi kwenye QURAAN kuna hayo MAAGANO?
we pombe za moshi zitakuua.
 
Yaani kwenye maada kama hizi hua unashupaaa, kwani kulikua na kosa gani kumwambia kwenye uislamu wenu hakuna haramu sasa umeshupaa kusoma vifungu vya biblia utafikiri mchungaji? Haya nimekuelewa kafiri.
Wewe ni mnafiki na unastahiki kuitwa kafiri.

wakristo wenzako wanaoneza uongo umeona hawashupalii huu uzi bali kahtaan.

Anza kuwapa ukweli makafiri wenzako kama wewe ndio uje kwa maalim kahtaan.
 
nimeisoma ila si kila liloandikwa ni la kukubaliana nalo..
Wewe ni MKRISTO Wa wapi unaechagua Maandiko km Nyaya Sokoni?

Huwezi KUJIITA MKRISTO kisha UKACHAGUA baadhi ya MAANDIKO na Baadhi UYAPUUZE na KUYAPINGA.

Gwajima Akikuona Atakwambia Una pepo chafu halafu Kulitoa hilo pepo Ni Laki na nusu tu.

Shauri yako.
 
Ndiyo tatizo la kusoma madrassa ukubwani.
Madrasa Elimu ghali we kafiri.
Elimu Inayopatikana kwa Shida na Mazingira Magumu lkn faida yake AJEEB!

Madrasa imenifunza Kuheshimu Kina mama na watoto wao.

Madrasa imenifunza kuheshimu haki za jirani yangu hata kama ni KAFIRI.

Madrasa imenifunza mpk.Namna ya KUOGA na kupiga Mswaki.

Wewe mpk leo UNACHAMBIA Makararasi kisa Unaiga wazungu.
Mkubwa mzima unatembea na Kinyesi makalioni Kisa ujihisi kama Mzungu?

Km nyie msingekuwa watu wa Kuiga Waislamu Na Mkaamua Kufuata BIBLIA PEKE YAKE basi Hata mswaki msingeujua leo.
Kwanza mnanuka midomo Ajabu.
Viti moto nuksi Nyie!!

Bloody cucumber!
 
Teh teh teh.

Ukiona Katonta kajibu utumbo ujue Hoja zimeisha. Alichobakisha ni kubwabwaja tu.

Hawa ndio kaiwada yao wakipewa ukweli.
Mipasho yenu inaonyesha tu jinsi mlivyo na akili za kipumbavu kama za huyo Allah
Naona unaleta dhiaka,kwaiyo km hausiki katika umbaji,nani kamuumba,,,,mtoto kawaida hana makosa,makosa mnayo wazazi mliodhini akapatikana Huyo mtoto, na ndoa inayotambulika na mungu ni ndoa ya kiislam tu,maana ndo dini ya ulimwengu,,kwaiyo waliozaliwa nje ya ndoa ambayo sio ya kiislam wote ni mtihani kwakweli,,,
 
Mipasho yenu inaonyesha tu jinsi mlivyo na akili za kipumbavu kama za huyo Allah

Teh teh teh.
Kafiri nae kajenga hoja!

Dah...

Wewe lzm utakuwa mtoto wa mzazi mmoja. Manake watoto wenye Kuwatambua Baba zao huwa hawaandiki utumbo mwingi kiasi hiki.

Siku moja kamuulize mama aretasludovick akikutazama usoni anaona nini mbele ya safari?

Jibu atakalokupa Tuletee hapa.
Usije jinyonga tu ukipewa jibu.
Manake Kwa Uchache atasema "hapa mwanangu ninachoona ni Ndoa ya jinsia moja tu" manake watoto wa namna yako Mwisho wao ndio huo.

Mchelemchele.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom