Kuhusu Muungano: Hawa hapa Jaji Joseph Warioba, Prof. Palamagamba Kabudi (CCM) na Freeman Mbowe, Tundu Lissu (CHADEMA). Tunakwama wapi kuamua?

Kuhusu Muungano: Hawa hapa Jaji Joseph Warioba, Prof. Palamagamba Kabudi (CCM) na Freeman Mbowe, Tundu Lissu (CHADEMA). Tunakwama wapi kuamua?

Uzima Tele

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2023
Posts
1,270
Reaction score
2,822


==Makala hii kwa njia ya video imeletwa kwenu kwa hisani ya SK Media Online TV na Ansbert Ngurumo==

Jaji Joseph Sinde Warioba (CCM): Wakati wote msimamo wake uko very consistent kuhusu muungano wa Tanganyika & Zanzibar wa mwaka 1964 kuwa suluhu yake ni serikali tatu ya muungano, Tanganyika na Zanzibar.

Walifanya utafiti na asilimia kubwa ya wananchi walitaka hivyo. Utafiti wao unaungwa mkono na tume mbalimbali za CCM ikiwemo ya Jaji Francis Nyalali, Jaji Robert Kissanga na Jaji Mark Bomani. Muungano wa serikali moja hauwezekanigi, wazanzibari hawako na hawajawahi kuwa tayari kuutema utaifa wao na kulifutilia mbali taifa lao la Zanzibar kama sisi Watanganyika tulivyoingizwa mkenge na Hayati Julius K. Nyerere..!


Prof. Palamagamba Kabudi (CCM): Huyu ni kigeugeu. Huyu Prof. Palamagamba Kabudi wa leo si yule aliyekuwa mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba mwaka 2014 chini ya uenyekiti wa Jaji Joseph Sinde Warioba. Ktk video wakati huo anakiri kuwa suluhu ya mgogoro wa muungano wetu ni serikali tatu kama ilivyo kwa Jaji Joseph Warioba . Lakini leo Profesa huyuhuyu kakubali kuuza utu na heshima yake kwa kuwa chawa asiye na msimamo kwa sababu ya njaa ya tumboni mwake na kuikana haki...

Freeman Mbowe: Huyu yeye katika video hii anavunja "taboo" ya kusema yasiyo ya kawaida na mwiko kusemwa ukiwa ndani ya CCM yaani U - zanzibari na u - Tanganyika kwa kigezo cha eti ni ubaguzi. Anapigilia msumari kilichosemwa na Tundu Lissu siku chache zilizopita huko Babati na kwingineko na kuzua taharuki kubwa huko kwenye kambi ya wa - kijani - CCM...

Advocate Tundu Lissu: Kama kawaida yake, yeye huwa hakopeshi, haogopi na hamuenei haya mtu awaye yeyote hata kama ni Rais na udikteta wake. Humwaga kila kitu waziwazi katika ukweli na uhalisia wake. Anarudia kilekile alichokisema akiwa Babati na kuzua taharuki kwenye kambi ya CCM na kuwaibua wana CCM kadhaa hata wale wasio na ushawishi wowote na waliokuwa wamejificha kwa miaka mingi kama vile Ally Hapi, Kinana na wengine wadogo wadogo wasiofahamika sana ktk siasa za Tanganyika...
===========================================

Tazama na sikiliza video hii hadi mwisho.

Na kwa wasio na MB poleni na nawashauri kutokomenti chochote ktk kujenga hoja yako kama hutakuwa umeitazama na kumsikiliza kila msemaji ktk video hii
 
View attachment 2988827
==Makala hii kwa njia ya video imeletwa kwenu kwa hisani ya SK Media Online TV na Ansbert Ngurumo==

Jaji Joseph Sinde Warioba (CCM): Wakati wote msimamo wake uko very consistent kuhusu muungano wa Tanganyika & Zanzibar wa mwaka 1964 kuwa suluhu yake ni serikali tatu ya muungano, Tanganyika na Zanzibar.

Walifanya utafiti na asilimia kubwa ya wananchi walitaka hivyo. Utafiti wao unaungwa mkono na tume mbalimbali za CCM ikiwemo ya Jaji Francis Nyalali, Jaji Robert Kissanga na Jaji Mark Bomani. Muungano wa serikali moja hauwezekanigi, wazanzibari hawako na hawajawahi kuwa tayari kuutema utaifa wao na kulifutilia mbali taifa lao la Zanzibar kama sisi Watanganyika tulivyoingizwa mkenge na Hayati Julius K. Nyerere..!


Prof. Palamagamba Kabudi (CCM): Huyu ni kigeugeu. Huyu Prof. Palamagamba Kabudi wa leo si yule aliyekuwa mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba mwaka 2014 chini ya uenyekiti wa Jaji Joseph Sinde Warioba. Ktk video wakati huo anakiri kuwa suluhu ya mgogoro wa muungano wetu ni serikali tatu kama ilivyo kwa Jaji Joseph Warioba . Lakini leo Profesa huyuhuyu kakubali kuuza utu na heshima yake kwa kuwa chawa asiye na msimamo kwa sababu ya njaa ya tumboni mwake na kuikana haki...

Freeman Mbowe: Huyu yeye katika video hii anavunja "taboo" ya kusema yasiyo ya kawaida na mwiko kusemwa ukiwa ndani ya CCM yaani U - zanzibari na u - Tanganyika kwa kigezo cha eti ni ubaguzi. Anapigilia msumari kilichosemwa na Tundu Lissu siku chache zilizopita huko Babati na kwingineko na kuzua taharuki kubwa huko kwenye kambi ya wa - kijani - CCM...

Advocate Tundu Lissu: Kama kawaida yake, yeye huwa hakopeshi, haogopi na hamuenei haya mtu awaye yeyote hata kama ni Rais na udikteta wake. Humwaga kila kitu waziwazi katika ukweli na uhalisia wake. Anarudia kilekile alichokisema akiwa Babati na kuzua taharuki kwenye kambi ya CCM na kuwaibua wana CCM kadhaa hata wale wasio na ushawishi wowote na waliokuwa wamejificha kwa miaka mingi kama vile Ally Hapi, Kinana na wengine wadogo wadogo wasiofahamika sana ktk siasa za Tanganyika...
===========================================

Tazama na sikiliza video hii hadi mwisho.

Na kwa wasio na MB poleni na nawashauri kutokomenti chochote ktk kujenga hoja yako kama hutakuwa umeitazama na kumsikiliza kila msemaji ktk video hii
Nadhani kuna siri fulani tunafichwa kuhusu huu muungano

Kama tunautaka kuna tatizo gani kuamua kufanya namna inavyotakiwa kuwa?

Hivi kweli kuna muungano gani hapa kama nchi moja mshirika wa muungano anakataa kuukana utaifa wake?

Wazanzibari wakiwa kwao ni Wazanzibari wenye haki ya kufaidi fursa zote za raia wa Zanzibar na sio kama "Watanzania"

Lakini wakiwa Tanganyika wanakuwa wameuacha Uzanzibari wao huko Zanzibar na wanajiita "Watanzania" wakiwa na haki ya kufaidi fursa zote za Watanganganyika

Lakini sisi Watanganganyika tukienda Zanzibar tunahesabiwa kama raia wa nchi ya kigeni tusio na haki ya kufaidi fursa na haki ya U - Tanzania ukiwa Zanzibar ambako Nako ni Tanzania pia. Hii Hapana. Haiko sawa

Watu wengi wana CCM wanasema eti ndivyo inavyosema katiba ya JMT na eti ndivyo tulivyokubaliana kuungana kwa namna hiyo.

Maswali ni:

1. Kama katiba ndivyo inavyosema, basi tukubali katiba ya namna hii ni mbovu haifai kwa sababu inalea tatizo ambalo ni kweli lipo na linahitaji suluhu.

2. Wanaosema tulikubaliana hivyo, basi watuambie ni lini na wapi tulikutana wananchi wa pande mbili tukakubalina hivi?

ALL IN ALL:

Hii haiko sawa. Huu muungano sio kabisa. Haufai na una ajenda ya siri ndani yake. Ni lazima jini litolewe ndani chupa safari hii!
 
CCM chama changu kilikosa maono ya kuiona future tukakalia kubebana kwenye makosa na kuzuia mabadiliko wakati mabadiliko ni kama maji hayazuiliki!!

Tulimpa mbowe jukumu la kuhodhi mawazo mbadala ya kizazi kipya!na kweli kafanya vizuri Santa Mwamba good!

Hatukufikiria kuhusu katiba mpya Wala kuhusu chama mbadala ambacho kingeendana na katiba mpya tukipe madaraka Ili kuendana na Hali ijayo!!

Sasa tunalazimisha mambo yabaki hata Kwa maumivu na kuwapoteza hats makada wenye fikra mbadala!!

Tumechelewa sana na Sasa wizi,ubadhirifu,upiga deal ukiripotiwa na CAG na sasa kibwagizo Cha ."mzanzibari anauza ardhi ya Tanganyika" plus "wamasai was ngoro ngoro kufukuzwa Ili wapewe waarabu ndio kelele zitakazo shamiri sana hapo 2025 na zinaweza kuangusha nyumba kama dola ikiamua kuwa neutral no hatari sana!!

Mawazo huru nimeandika naamini nitavumiliwa!!

Kwa Sasa tunaanza kuandika kwa hofu mambo haya,kibaya zaidi mikono na moyo inashauku ya kuandika na unashindwa kuzuia!!


Mungu ibariki Tanzania!!
 
View attachment 2988827
==Makala hii kwa njia ya video imeletwa kwenu kwa hisani ya SK Media Online TV na Ansbert Ngurumo==

Jaji Joseph Sinde Warioba (CCM): Wakati wote msimamo wake uko very consistent kuhusu muungano wa Tanganyika & Zanzibar wa mwaka 1964 kuwa suluhu yake ni serikali tatu ya muungano, Tanganyika na Zanzibar.

Walifanya utafiti na asilimia kubwa ya wananchi walitaka hivyo. Utafiti wao unaungwa mkono na tume mbalimbali za CCM ikiwemo ya Jaji Francis Nyalali, Jaji Robert Kissanga na Jaji Mark Bomani. Muungano wa serikali moja hauwezekanigi, wazanzibari hawako na hawajawahi kuwa tayari kuutema utaifa wao na kulifutilia mbali taifa lao la Zanzibar kama sisi Watanganyika tulivyoingizwa mkenge na Hayati Julius K. Nyerere..!


Prof. Palamagamba Kabudi (CCM): Huyu ni kigeugeu. Huyu Prof. Palamagamba Kabudi wa leo si yule aliyekuwa mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba mwaka 2014 chini ya uenyekiti wa Jaji Joseph Sinde Warioba. Ktk video wakati huo anakiri kuwa suluhu ya mgogoro wa muungano wetu ni serikali tatu kama ilivyo kwa Jaji Joseph Warioba . Lakini leo Profesa huyuhuyu kakubali kuuza utu na heshima yake kwa kuwa chawa asiye na msimamo kwa sababu ya njaa ya tumboni mwake na kuikana haki...

Freeman Mbowe: Huyu yeye katika video hii anavunja "taboo" ya kusema yasiyo ya kawaida na mwiko kusemwa ukiwa ndani ya CCM yaani U - zanzibari na u - Tanganyika kwa kigezo cha eti ni ubaguzi. Anapigilia msumari kilichosemwa na Tundu Lissu siku chache zilizopita huko Babati na kwingineko na kuzua taharuki kubwa huko kwenye kambi ya wa - kijani - CCM...

Advocate Tundu Lissu: Kama kawaida yake, yeye huwa hakopeshi, haogopi na hamuenei haya mtu awaye yeyote hata kama ni Rais na udikteta wake. Humwaga kila kitu waziwazi katika ukweli na uhalisia wake. Anarudia kilekile alichokisema akiwa Babati na kuzua taharuki kwenye kambi ya CCM na kuwaibua wana CCM kadhaa hata wale wasio na ushawishi wowote na waliokuwa wamejificha kwa miaka mingi kama vile Ally Hapi, Kinana na wengine wadogo wadogo wasiofahamika sana ktk siasa za Tanganyika...
===========================================

Tazama na sikiliza video hii hadi mwisho.

Na kwa wasio na MB poleni na nawashauri kutokomenti chochote ktk kujenga hoja yako kama hutakuwa umeitazama na kumsikiliza kila msemaji ktk video hii
Kupitia huu mjadala ndio tutaona nani ambaye elimu imemkomboa, yaani moja ya maadui wa taifa (ujinga) umemtoka.
 
nilichogundua hapa, sifa kubwa anayotakiwa kuwa nayo mwanasiasa ni kuwa "muongo na ndumilakuwili".
anaasema leo hiki, kesho anasema kile..

kuanzia ngazi ya urais, ubunge na udiwani. ni kuwa muongo muongo muongooo
 
Nadhani kuna siri fulani tunafichwa kuhusu huu muungano

Kama tunautaka kuna tatizo gani kuamua kufanya namna inavyotakiwa kuwa?

Hivi kweli kuna muungano gani hapa kama nchi moja mshirika wa muungano anakataa kuukana utaifa wake?

Wazanzibari wakiwa kwao ni Wazanzibari wenye haki ya kufaidi fursa zote za raia wa Zanzibar na sio kama "Watanzania"

Lakini wakiwa Tanganyika wanakuwa wameuacha Uzanzibari wao huko Zanzibar na wanajiita "Watanzania" wakiwa na haki ya kufaidi fursa zote za Watanganganyika

Lakini sisi Watanganganyika tukienda Zanzibar tunahesabiwa kama raia wa nchi ya kigeni tusio na haki ya kufaidi fursa na haki ya U - Tanzania ukiwa Zanzibar ambako Nako ni Tanzania pia. Hii Hapana. Haiko sawa

Watu wengi wana CCM wanasema eti ndivyo inavyosema katiba ya JMT na eti ndivyo tulivyokubaliana kuungana kwa namna hiyo.

Maswali ni:

1. Kama katiba ndivyo inavyosema, basi tukubali katiba ya namna hii ni mbovu haifai kwa sababu inalea tatizo ambalo ni kweli lipo na linahitaji suluhu.

2. Wanaosema tulikubaliana hivyo, basi watuambie ni lini na wapi tulikutana wananchi wa pande mbili tukakubalina hivi?

ALL IN ALL:

Hii haiko sawa. Huu muungano sio kabisa. Haufai na una ajenda ya siri ndani yake. Ni lazima jini litolewe ndani chupa safari hii!
Wazanzibar uwakute kokote duniani wata kwambia wanatokea zanzibar sio Tanzania.

Mfano Marekani mtu akitokea Hawaii anasema anatokea Hawaii hasemi anatokea USA au Puerto Rico wanasema wanatokea Puerto Rico hawasemi wanatokea USA.

Mchina wa Hong Kong anasema anatokea Hong Kong na sio china. Sasa mzanzibar akisema yeye ni mzanzibar kuna ubaya gani?.

Mzanzibar akiwepo bara anaitwa Mpemba sio mtanzania
 
View attachment 2988827
==Makala hii kwa njia ya video imeletwa kwenu kwa hisani ya SK Media Online TV na Ansbert Ngurumo==

Jaji Joseph Sinde Warioba (CCM): Wakati wote msimamo wake uko very consistent kuhusu muungano wa Tanganyika & Zanzibar wa mwaka 1964 kuwa suluhu yake ni serikali tatu ya muungano, Tanganyika na Zanzibar.

Walifanya utafiti na asilimia kubwa ya wananchi walitaka hivyo. Utafiti wao unaungwa mkono na tume mbalimbali za CCM ikiwemo ya Jaji Francis Nyalali, Jaji Robert Kissanga na Jaji Mark Bomani. Muungano wa serikali moja hauwezekanigi, wazanzibari hawako na hawajawahi kuwa tayari kuutema utaifa wao na kulifutilia mbali taifa lao la Zanzibar kama sisi Watanganyika tulivyoingizwa mkenge na Hayati Julius K. Nyerere..!


Prof. Palamagamba Kabudi (CCM): Huyu ni kigeugeu. Huyu Prof. Palamagamba Kabudi wa leo si yule aliyekuwa mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba mwaka 2014 chini ya uenyekiti wa Jaji Joseph Sinde Warioba. Ktk video wakati huo anakiri kuwa suluhu ya mgogoro wa muungano wetu ni serikali tatu kama ilivyo kwa Jaji Joseph Warioba . Lakini leo Profesa huyuhuyu kakubali kuuza utu na heshima yake kwa kuwa chawa asiye na msimamo kwa sababu ya njaa ya tumboni mwake na kuikana haki...

Freeman Mbowe: Huyu yeye katika video hii anavunja "taboo" ya kusema yasiyo ya kawaida na mwiko kusemwa ukiwa ndani ya CCM yaani U - zanzibari na u - Tanganyika kwa kigezo cha eti ni ubaguzi. Anapigilia msumari kilichosemwa na Tundu Lissu siku chache zilizopita huko Babati na kwingineko na kuzua taharuki kubwa huko kwenye kambi ya wa - kijani - CCM...

Advocate Tundu Lissu: Kama kawaida yake, yeye huwa hakopeshi, haogopi na hamuenei haya mtu awaye yeyote hata kama ni Rais na udikteta wake. Humwaga kila kitu waziwazi katika ukweli na uhalisia wake. Anarudia kilekile alichokisema akiwa Babati na kuzua taharuki kwenye kambi ya CCM na kuwaibua wana CCM kadhaa hata wale wasio na ushawishi wowote na waliokuwa wamejificha kwa miaka mingi kama vile Ally Hapi, Kinana na wengine wadogo wadogo wasiofahamika sana ktk siasa za Tanganyika...
===========================================

Tazama na sikiliza video hii hadi mwisho.

Na kwa wasio na MB poleni na nawashauri kutokomenti chochote ktk kujenga hoja yako kama hutakuwa umeitazama na kumsikiliza kila msemaji ktk video hii
Jaji Warioba amekuwa akifafanua vizuri na anaeleweka kwa kila mtu hata wale Watanganyika vipofu na wanafiki waliokubuhu.

Sasa namuomba Jaji Warioba aongoze harakati za kuidai Tanganyika waziwazi asiishie kufafanua tu ubovu wa huu muungano wa serikali mbili na kuelezea solution tu. Imeeleweka na inatosha. Sasa ni wakati wa kuidai Tanganyika basi. Nimesema Jaji Warioba aongize juhudi hizo sina maana wengine wakae kimya la hasha, Watanganyika wote wenye mapenzi mema bila kujali tofauti zetu au itikadi zetu tuongozwe na Jaji Warioba katika kudai Tanganyika.

Jaji Warioba akikubali itakuwa rahisi kupenya ndani ya viongozi wa CCM kana wabunge, waNEC nk hivyo Tanganyika inaweza kurudi hata kabla ya uchaguzi wa mwaka 2025.

Pia nawasihi wapinzani wasimkatae Jaji Warioba kuongoza hizi harakati za kuidai Tanganyika.

Jaji Warioba anaweza kufanya kama Mahtama Gandhi aliyeongoza harakati za kudai uhuru wa India lakini baada ya uhuru kupatikana hakuchukua wadhifa wowote katika serikali ya India huru.

Mnaoweza mumfikishie huu ujumbe Jaji Warioba
 
View attachment 2988827
==Makala hii kwa njia ya video imeletwa kwenu kwa hisani ya SK Media Online TV na Ansbert Ngurumo==

Jaji Joseph Sinde Warioba (CCM): Wakati wote msimamo wake uko very consistent kuhusu muungano wa Tanganyika & Zanzibar wa mwaka 1964 kuwa suluhu yake ni serikali tatu ya muungano, Tanganyika na Zanzibar.

Walifanya utafiti na asilimia kubwa ya wananchi walitaka hivyo. Utafiti wao unaungwa mkono na tume mbalimbali za CCM ikiwemo ya Jaji Francis Nyalali, Jaji Robert Kissanga na Jaji Mark Bomani. Muungano wa serikali moja hauwezekanigi, wazanzibari hawako na hawajawahi kuwa tayari kuutema utaifa wao na kulifutilia mbali taifa lao la Zanzibar kama sisi Watanganyika tulivyoingizwa mkenge na Hayati Julius K. Nyerere..!


Prof. Palamagamba Kabudi (CCM): Huyu ni kigeugeu. Huyu Prof. Palamagamba Kabudi wa leo si yule aliyekuwa mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba mwaka 2014 chini ya uenyekiti wa Jaji Joseph Sinde Warioba. Ktk video wakati huo anakiri kuwa suluhu ya mgogoro wa muungano wetu ni serikali tatu kama ilivyo kwa Jaji Joseph Warioba . Lakini leo Profesa huyuhuyu kakubali kuuza utu na heshima yake kwa kuwa chawa asiye na msimamo kwa sababu ya njaa ya tumboni mwake na kuikana haki...

Freeman Mbowe: Huyu yeye katika video hii anavunja "taboo" ya kusema yasiyo ya kawaida na mwiko kusemwa ukiwa ndani ya CCM yaani U - zanzibari na u - Tanganyika kwa kigezo cha eti ni ubaguzi. Anapigilia msumari kilichosemwa na Tundu Lissu siku chache zilizopita huko Babati na kwingineko na kuzua taharuki kubwa huko kwenye kambi ya wa - kijani - CCM...

Advocate Tundu Lissu: Kama kawaida yake, yeye huwa hakopeshi, haogopi na hamuenei haya mtu awaye yeyote hata kama ni Rais na udikteta wake. Humwaga kila kitu waziwazi katika ukweli na uhalisia wake. Anarudia kilekile alichokisema akiwa Babati na kuzua taharuki kwenye kambi ya CCM na kuwaibua wana CCM kadhaa hata wale wasio na ushawishi wowote na waliokuwa wamejificha kwa miaka mingi kama vile Ally Hapi, Kinana na wengine wadogo wadogo wasiofahamika sana ktk siasa za Tanganyika...
===========================================

Tazama na sikiliza video hii hadi mwisho.

Na kwa wasio na MB poleni na nawashauri kutokomenti chochote ktk kujenga hoja yako kama hutakuwa umeitazama na kumsikiliza kila msemaji ktk video hii
We kafanye kazi muundo wa muungano haujasababisha umaskini wako huo. Mmezoea ubaguzi wapuuzi nyie nyumbu.
 
Jaji Warioba akikubali itakuwa rahisi kupenya ndani ya viongozi wa CCM kana wabunge, waNEC nk
Huenda hujasikia hiistoria wala kuona ya Jaji Warioba kwenye rasimu ya katiba mpya ile ya 2014. Sasa nikukumbushe: Ile rasimu imepewa jina la umaarufu - rasimu ya jaji Warioba - kwa sababu alikuwa kiongozi wa timu iliyoiandika. Rasimu ile ilikataliwa na CCM.

Wacha Warioba aongoze kampeni bila kujali kukubali au kukataa viongozi wa CCM. Watakaoona inafaa, na naamini wapo wengi, watamuunga mkono sio kwa sababu ya uCCM au uanachama wa chama chochote, kwani hapa panapiganiwa maslahi ya nchi sio ya chama chochote.
 
Huenda hujasikia hiistoria wala kuona ya Jaji Warioba kwenye rasimu ya katiba mpya ile ya 2014. Sasa nikukumbushe: Ile rasimu imepewa jina la umaarufu - rasimu ya jaji Warioba - kwa sababu alikuwa kiongozi wa timu iliyoiandika. Rasimu ile ilikataliwa na CCM.

Wacha Warioba aongoze kampeni bila kujali kukubali au kukataa viongozi wa CCM. Watakaoona inafaa, na naamini wapo wengi, watamuunga mkono sio kwa sababu ya uCCM au uanachama wa chama chochote, kwani hapa panapiganiwa maslahi ya nchi sio ya chama chochote.
Rudi kusoma vixuri andiko langu.

Jaji Waruoba namfahanu kwa akili zangu sio kumsoma tangu akiwa mwabasheria mkuu wa serikali miaka ya katikati ya 1970s.

Nulichishauri ni kwa sababu Jaj Warioba anaheshimika sio mla rushwa kama wengi wa viongozi wengine ambao wana ndimi mbili lakini pia ni mjengaji hoja mzuri. Pia kupata Tanganyika sio kazi rahisi kama unavyofikiria hasa kwa tabia za wengi wa watanganyika wenye madaraka ambao huweka naslahi yao kwanza kabla ya jambo lolote.

Jaji Warioba ni rahisi kwake kuunganisha nguvu za watanganyika wachache viongozi, wapinzani na watanganyika wa kawaida .kuidai Tanganyika.
 
CCM chama changu kilikosa maono ya kuiona future tukakalia kubebana kwenye makosa na kuzuia mabadiliko wakati mabadiliko ni kama maji hayazuiliki!!

Tulimpa mbowe jukumu la kuhodhi mawazo mbadala ya kizazi kipya!na kweli kafanya vizuri Santa Mwamba good!

Hatukufikiria kuhusu katiba mpya Wala kuhusu chama mbadala ambacho kingeendana na katiba mpya tukipe madaraka Ili kuendana na Hali ijayo!!

Sasa tunalazimisha mambo yabaki hata Kwa maumivu na kuwapoteza hats makada wenye fikra mbadala!!

Tumechelewa sana na Sasa wizi,ubadhirifu,upiga deal ukiripotiwa na CAG na sasa kibwagizo Cha ."mzanzibari anauza ardhi ya Tanganyika" plus "wamasai was ngoro ngoro kufukuzwa Ili wapewe waarabu ndio kelele zitakazo shamiri sana hapo 2025 na zinaweza kuangusha nyumba kama dola ikiamua kuwa neutral no hatari sana!!

Mawazo huru nimeandika naamini nitavumiliwa!!

Kwa Sasa tunaanza kuandika kwa hofu mambo haya,kibaya zaidi mikono na moyo inashauku ya kuandika na unashindwa kuzuia!!


Mungu ibariki Tanzania!!

Bado uko na Mungu Ibariki Tanzania ??? Nyerere kawaroga sijui kwa pepo lipi ??
 
View attachment 2988827
==Makala hii kwa njia ya video imeletwa kwenu kwa hisani ya SK Media Online TV na Ansbert Ngurumo==

Jaji Joseph Sinde Warioba (CCM): Wakati wote msimamo wake uko very consistent kuhusu muungano wa Tanganyika & Zanzibar wa mwaka 1964 kuwa suluhu yake ni serikali tatu ya muungano, Tanganyika na Zanzibar.

Walifanya utafiti na asilimia kubwa ya wananchi walitaka hivyo. Utafiti wao unaungwa mkono na tume mbalimbali za CCM ikiwemo ya Jaji Francis Nyalali, Jaji Robert Kissanga na Jaji Mark Bomani. Muungano wa serikali moja hauwezekanigi, wazanzibari hawako na hawajawahi kuwa tayari kuutema utaifa wao na kulifutilia mbali taifa lao la Zanzibar kama sisi Watanganyika tulivyoingizwa mkenge na Hayati Julius K. Nyerere..!


Prof. Palamagamba Kabudi (CCM): Huyu ni kigeugeu. Huyu Prof. Palamagamba Kabudi wa leo si yule aliyekuwa mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba mwaka 2014 chini ya uenyekiti wa Jaji Joseph Sinde Warioba. Ktk video wakati huo anakiri kuwa suluhu ya mgogoro wa muungano wetu ni serikali tatu kama ilivyo kwa Jaji Joseph Warioba . Lakini leo Profesa huyuhuyu kakubali kuuza utu na heshima yake kwa kuwa chawa asiye na msimamo kwa sababu ya njaa ya tumboni mwake na kuikana haki...

Freeman Mbowe: Huyu yeye katika video hii anavunja "taboo" ya kusema yasiyo ya kawaida na mwiko kusemwa ukiwa ndani ya CCM yaani U - zanzibari na u - Tanganyika kwa kigezo cha eti ni ubaguzi. Anapigilia msumari kilichosemwa na Tundu Lissu siku chache zilizopita huko Babati na kwingineko na kuzua taharuki kubwa huko kwenye kambi ya wa - kijani - CCM...

Advocate Tundu Lissu: Kama kawaida yake, yeye huwa hakopeshi, haogopi na hamuenei haya mtu awaye yeyote hata kama ni Rais na udikteta wake. Humwaga kila kitu waziwazi katika ukweli na uhalisia wake. Anarudia kilekile alichokisema akiwa Babati na kuzua taharuki kwenye kambi ya CCM na kuwaibua wana CCM kadhaa hata wale wasio na ushawishi wowote na waliokuwa wamejificha kwa miaka mingi kama vile Ally Hapi, Kinana na wengine wadogo wadogo wasiofahamika sana ktk siasa za Tanganyika...
===========================================

Tazama na sikiliza video hii hadi mwisho.

Na kwa wasio na MB poleni na nawashauri kutokomenti chochote ktk kujenga hoja yako kama hutakuwa umeitazama na kumsikiliza kila msemaji ktk video hii
Suluhu ya kero za Muungano ni serikali moja tu.
 
Back
Top Bottom