Kuhusu mzizimkavu

Kuhusu mzizimkavu

Iyokopokomayoko

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2011
Posts
1,785
Reaction score
442
Habari zenu madaktari na wanajamvi wote.

Samahani leo ningependa kujuwa kuhusu MziziMkavu, ningependa kupata jina lake halisi, mahali anapoishi, alipozaliwa, miaka yake, kazi zake kwa sasa, na pia anipe user name yake ya facebook na namba yake ya simu.

Asanteni.
 
Huyo jamaa ni mganga wa kienyeji anaishi msata,jina lake halisi ni Maduhu Pikipiki usishangae jina ni msukuma huyo,hanapatikani kwa sasa hewani kwasababu anamadeni na wateja wake aliowatengenezea dawa za kupata wachumba lakini hawajapata mapaka sasa,aliowapa dawa za kuongeza makalio lakini hawajafanikiwa,aliowapa dawa za kurefusha uume lakini uume hazijarefuka mpaka sasa.Kifupi maisha yake ni yakujifichaficha na kibaya zaidi ametoroka na mgonjwa mmoja wa kike eti kaenda kumpa dawa.Ni mganga wa kienyeji ila ni sharobaro sana,dawa zake anatumia hotpot kupeleka kwa wagonjwa wa mbali,haagizi kuku yeye anaagiza ma jeans na pizza .Kwa info zaidi ni pm
 
Hapana mim naona hajatumwa...huyu mleta thread inawezekana anahitaji ushauri au huduma za MziziMkavu. inawezekana amefuatilia thread zake nyingi na kuna ambazo zimemvutia hivyo anataka aonane nao kabisa. MziziMkavu ondoa hofu mkuu, kazi yako ya tiba mbadala ndo kivutio na ushawizi wa kutafutwa.
Watu wengine aseeee kama wametumwa vile
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom