Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Ukishasoma jijibu tu mwenyewe nani apewe golden boot.
====
EPUKENI U BUSH LAWYER
Msimu wa Ligi Kuu 2022-23 umekamilika rasmi Leo kwa Wananchi Young Africans kutawazwa kuwa Mabingwa. Hongera sana Eng. Hersi, Rais wa Young Africans pamoja na GSM Kwa jitihada ya kuijenga team imara.
Sasa Niwape elimu ndogo tu kuhusu UFUNGAJI BORA NA KANUNI YAKE. Ifuatayo ni Kanuni ya Kombe la Dunia kuhusu UFUNGAJI BORA.
The Golden Boot is primarily decided on total number of goals scored by an individual player at the tournament, but should there be any level-pegging at the summit come the close of play then the award is settled using tiebreaker criteria: first assists, then fewest minutes played.
UFUNGAJI BORA Kimsingi huamuliwa kwa idadi ya jumla ya magoli yaliyofungwa na mchezaji mwenye magoli yanayo wazidi wapinzani wake kwenye shindano husika, ila inapotokea zaidi ya mchezaji mmoja kulingana kwa UFUNGAJI BORA a anayeongoza Mwisho wa shindano husika, basi vipengele vifuatavyo vitatumika kubaini Mfungaji Bora
1. Idadi ya assist
2. Dakika chache zaidi alizocheza.
KANUNI hii ilitungwa tarehe 15 December 2022 a Shirikisho la
Soka Ulimwenguni FIFA kwa ajili ya Mashindano ya kituo kama
Kombe la Dunia.
====
EPUKENI U BUSH LAWYER
Msimu wa Ligi Kuu 2022-23 umekamilika rasmi Leo kwa Wananchi Young Africans kutawazwa kuwa Mabingwa. Hongera sana Eng. Hersi, Rais wa Young Africans pamoja na GSM Kwa jitihada ya kuijenga team imara.
Sasa Niwape elimu ndogo tu kuhusu UFUNGAJI BORA NA KANUNI YAKE. Ifuatayo ni Kanuni ya Kombe la Dunia kuhusu UFUNGAJI BORA.
The Golden Boot is primarily decided on total number of goals scored by an individual player at the tournament, but should there be any level-pegging at the summit come the close of play then the award is settled using tiebreaker criteria: first assists, then fewest minutes played.
UFUNGAJI BORA Kimsingi huamuliwa kwa idadi ya jumla ya magoli yaliyofungwa na mchezaji mwenye magoli yanayo wazidi wapinzani wake kwenye shindano husika, ila inapotokea zaidi ya mchezaji mmoja kulingana kwa UFUNGAJI BORA a anayeongoza Mwisho wa shindano husika, basi vipengele vifuatavyo vitatumika kubaini Mfungaji Bora
1. Idadi ya assist
2. Dakika chache zaidi alizocheza.
KANUNI hii ilitungwa tarehe 15 December 2022 a Shirikisho la
Soka Ulimwenguni FIFA kwa ajili ya Mashindano ya kituo kama
Kombe la Dunia.